Dada wa watu anakosa gani? Rafiki yako hajui thamani ya kazi yake. Kama anajijua pombe inamfanya hivyo kwanini alewe siku za kazi? hata alarm ya kumuamsha alishindwa kuweka imuamshe? Kama yeye hajali kazi yake hata huyo dada hataijli pia.Jamaa alilewa siku hiyo akachelewa kuamka na alilala na huyo mdada. Naye pia alichelewa kuamka. Kosa ndio liko hapo.
ha haha kumbe walilala wote halafu akachelwa kuamka ndiyo anatupa lawama kwa demu

Khaaaa... Preta mpana sana wewe!!! Jamaa kasema ni Wanaume tu!!! Au ulijua kutakua na mambo ya Shokomzoba???
Rafiki yake wapi? Ni yeye tu kaamua kujiita rafiki yake hahahaaahSijaelewa.......
Halafu inaonekana unajua sana mambo ya rafiki yako.......
Kumbe mlevi. Basi tatizo sio mpenzi wake ni ulevi tu. Mwambie rafiki ako kuwa ulevi ni adui wa maendeleoJamaa alilewa siku hiyo akachelewa kuamka na alilala na huyo mdada. Naye pia alichelewa kuamka. Kosa ndio liko hapo.
Rafiki yake wapi? Ni yeye tu kaamua kujiita rafiki yake hahahaaah
Naona wivu wa msichana wake ndo tatizo, anataka achat na baby mda wote pia awahi kurudi home. Sijui ndo gubu wanaita
demu atakuwa anamtombeshaa sana jamaa anachelewa kazinimimi mwanamke ila ujaeleza kivipi demu anaweza sababisha jamaa kufukuzwa kazi
sasa hapo kosa la nani, Kwani huyo demu ndo alimfungua mdomo akamnywesha???Jamaa alilewa siku hiyo akachelewa kuamka na alilala na huyo mdada. Naye pia alichelewa kuamka. Kosa ndio liko hapo.
Ha ha ha asisimamishe basidemu atakuwa anamtombeshaa sana jamaa anachelewa kazini
atakuwa ana mbunye tamu sana .ndio maana lazima adindisheHa ha ha asisimamishe basi