Kwa wanaume tu: Anaomba ushauri

Kwa wanaume tu: Anaomba ushauri

Nawewe kweli ukashindwa kumwambia aache ulevi?!!!!
 
Salamu zenu wakubwa kwa wadogo?

Ishu iko ivi, nina rafiki yangu wa karibu ambaye ameniomba ushauri. Mimi binafsi sijui nimshauri kipi kizuri. Naileta mbele yenu, wana JamiiForum hasa wanaume tumsaidie huyu ndugu yetu aokoe jhazi.

Mada iko kama ifuatavyo;

Ni mwanaume mwenye miaka 27. Bado anahangaika kutafuta maisha. Alikuwa na girlfriend wake ambaye walipendana sana hata kipindi rafiki yangu huyu akiwa hana kitu, kwa mdada huyu alimheshimu, alimjali na kumpenda.

Rafiki yangu amepata sehemu ya kujishikiza. Kwa jinsi anavyompenda msichana wake, anahofu kuwa anaweza akapoteza kibarua chake. Kibarua chenyewe, kinatishiwa kuota nyasi muda wowote.

Kosa lolote dogo linamfanya rafiki yangu huyu atishiwe kufukuzwa kila mara. Na mara mbili aliwahi kufukuzwa sababu ya msichana wake kujisahau kumhimiza rafiki yangu awahi kibaruani.

Jamaa amemwambia msichana wake waachane ili yeye aendelee kutafuta maisha. Msichana amelia sana na kuomba kujirekebisha.

Na rafiki yangu anakubali kuwa msichana wake ana mapenzi ya kweli kwake. Yeye anampenda ila hayuko radhi kupoteza kibarua.

Jamani, kwa ushauri wenu, mnaona ni busara wawili hawa wakaachana ama unaona jamaa afanye nini hapo?
"samahani mkuu, huyo mwanamke ana umri gani? ila ni hivi mapenzi hayashauriki ila kama kweli ana mpenda! basi ampende tu maradufu ila na mapenzi yote hayo wapo watakao mg**ga kwa buku"
 
Salamu zenu wakubwa kwa wadogo?

Ishu iko ivi, nina rafiki yangu wa karibu ambaye ameniomba ushauri. Mimi binafsi sijui nimshauri kipi kizuri. Naileta mbele yenu, wana JamiiForum hasa wanaume tumsaidie huyu ndugu yetu aokoe jhazi.

Mada iko kama ifuatavyo;

Ni mwanaume mwenye miaka 27. Bado anahangaika kutafuta maisha. Alikuwa na girlfriend wake ambaye walipendana sana hata kipindi rafiki yangu huyu akiwa hana kitu, kwa mdada huyu alimheshimu, alimjali na kumpenda.

Rafiki yangu amepata sehemu ya kujishikiza. Kwa jinsi anavyompenda msichana wake, anahofu kuwa anaweza akapoteza kibarua chake. Kibarua chenyewe, kinatishiwa kuota nyasi muda wowote.

Kosa lolote dogo linamfanya rafiki yangu huyu atishiwe kufukuzwa kila mara. Na mara mbili aliwahi kufukuzwa sababu ya msichana wake kujisahau kumhimiza rafiki yangu awahi kibaruani.

Jamaa amemwambia msichana wake waachane ili yeye aendelee kutafuta maisha. Msichana amelia sana na kuomba kujirekebisha.

Na rafiki yangu anakubali kuwa msichana wake ana mapenzi ya kweli kwake. Yeye anampenda ila hayuko radhi kupoteza kibarua.

Jamani, kwa ushauri wenu, mnaona ni busara wawili hawa wakaachana ama unaona jamaa afanye nini hapo?



Mwambie aje mwenyewe ww hujaeleweka
 
Aache upumbavu! Huyo mpenzi wa aina hiyo wanapatikana kwa nadra sana!!!....ajipe tuu muda wa kuamka hata kama ni saa kumi na moja awahi kazini.....na mapenzi yasonge....angekuwa karibu yangu ningemwasha kibao!!!

Swali la kizushi:
-umeona noma kusema ni wewe???
 
ha haahaha hahaaaaaaaaaaaaaaaaa kwa hiyo kisa demu alichelewa kumuamsha ndiyo nataka waachane ? kwa hiyo akiachana na demu wake ataamka mapema? ila unaonekana nyie ni watoto bado aisee
Kama vibuti vyote vingekuwa dizaini hii sijui ingekuwaje poleni dada zangu mtuvumilie tu wengine uwezo wetu umeishia hapo
 
Too childish ivi mapenzi gani yakukufanya usikumbuke umuhimu wa kazi yako? Mwambie asubiri atakapofukuzwa kazi na kukimbiwa na mpenzi atuletee mrejesho
 
kuna kitu rafiki yako alisahau kukwambia....ebu mwambie akusimulie tena alafu urudi tena hapa
 
Cjaelewa uhusiano kati ya huyo msichana na hatar ya jamaa kufukuzwa kazi......au bosi wa jamaa nae ni dem na anatoka nae??? So anamtishia kumpga chini dem wake wa home kwa usalama wake??? Ufafanuz plz
 
nashindwa kulink issue ya kufukuzwa kazi mwanamke anahusika nn? au ndo kwakuwa hamuashi awahi?
 
Miaka 27 alafu jambo km hilo unaomba ushauri
Okey mwambie aache ulevi na uzinzi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom