daughter
JF-Expert Member
- Jun 22, 2009
- 1,275
- 746
Aisee, mimi nimefanya hii kabla ya kusoma hata hii post. Kuna binti..ni mdogo kwangu kiumri leo kaja kapiga kiofisi kweli kweli..kapendeza cha-maukwelii, nimemwambia kaepndeza akabaki kujichekesha na smile ambalo nimeliapproximate kuwa abt 2minutes long.
sasa amejipitisha hapa kwangu mara mbili tayari anasmile tu!
Iiii jamani Mentor,sasa umekuja kunisema huku?siungenambia tu kama nimezidisha smile ..LOl!
Utanifanya leo nifanye kazi half day,i feel embarassed