AD leo hiyo Pedo imekutua ile mbaya!Hahahahahaha Nimegundua hilo dearbora hata hii threadYakutusifia kuliko ileYa kutudanganya
AD hawa kaka zetu ,mashemeji ,waume zetu naona kila kukicha wanatafuta mbinu za kutongoza ha ha
Kimey mambo vipi?Asante mama mchungaji alinishonea kwa Kuwa mwanakwayA bora.. mmhhAD leo hiyo Pedo imekutua ile mbaya!
AD hawa kaka zetu ,mashemeji ,waume zetu naona kila kukicha wanatafuta mbinu za kutongoza ha ha
Mambo poa AD, hahaha kweli mama mchungaji ni designer mzuri, ngoja nitete nae anitengenezee batiki na mimi nisifiwe bana!Kimey mambo vipi?Asante mama mchungaji alinishonea kwa Kuwa mwanakwayA bora.. mmhh
Hahahahahahahah My dear is your Natural beautyndicho kinacho kupezesha lolHahahah...jipe moyo!!Sijambo japo unanisifia uongo!Ntapendezaje wakati sijavaa nguo?!
Me?!Puhleeeez....im a mess!!Hi Lizzy... You are looking cute today...
Hahahah haya tuwaache wakaka waendelee na zoezi lao!!!Hahahahahahahah My dear is your Natural beautyndicho kinacho kupezesha lol
Ehhhhhh?!WOW!Mi nimemwambia mmoja, kafurahi kasema asante kaka angu.
Amen..Hahaha lolTena anajua kushona kama zileZa ki Nigeria .... lakini unatakiwa u exchangeCounter ya juu na kanissa.. hahahaha lolMi mzima kabisa dearNaona umepotea kidogo humu ndani.. maisha yanasemaje???Mambo poa AD, hahaha kweli mama mchungaji ni designer mzuri, ngoja nitete nae anitengenezee batiki na mimi nisifiwe bana!Mzima lakini wewe?