ebana tyari.kashangaa kchizi et leo naongea had nimemwambia kapendeza!!.ngoja nikamwambia vai fasta nione.
Kisa eti hua nipo siriaz sana. akija soma hii post apa lazima aje kunimind.teh teh!
ebana tyari.kashangaa kchizi et leo naongea had nimemwambia kapendeza!!.ngoja nikamwambia vai fasta nione.
Ahhhhhhhh kumbe
Atakaye niambia umependeza
Leo Yake ngumu .. asanteni na
Kila lakheri
Hahaha mpaka mwishowamwezi tumejua mengi .. ndani ya siku mbili mmesha toa mawiliKuna hili na lile la kutudanganyaNazikusanya tu.. asanteeni kwa ukarimu wenu lolHaa akina Dada inaonekana mbinu hii mmeishitukia, bado tutaendelea kuwanasa tu maana mbinu ziko nyingi sana na kwa sasa hatuwezi kuziweka hadharani kwa maslahi yetu sisi akina kaka.
mmhh wewe mbea jaman mwee..!!!!!!!!!1
tabasamu dk mbili cheko dk ngap sasa?
ehh aya!!!!!!
io boksa imekutoa leoa du ..kesho vaaa tena iyo iyo!!!
poa, na uzuri unachangia.
Hahahahahaha Dahhhh umeenichekesha wewe mmnhhhhhNimemwambia mdada mmoja kuwa amependeza amenijibu eti "kwani wewe ndio unajua leo,mbona ni kawaida yangu".,nikaona asubuhi yangu imeshaharibika.
Ulikua wafanya nini mpaka saa hizi aujavaa nguo!Hahahah...jipe moyo!!Sijambo japo unanisifia uongo!Ntapendezaje wakati sijavaa nguo?!
Unataka kujua ili..?!Ulikua wafanya nini mpaka saa hizi aujavaa nguo!
Mi niko likizo, wife kaondoka asubuhu asubuhi, sasa najiuliza hii niiapply kwa mdada wetu wa kazi au niipotezee nisije leta matatizo! Mwongozo tafadhari.
matatizo yatakujaje?
au afta kusema UMEPENDEZA..una ajenda ingne unataka kuitoa?
km issue ni umeopendeza tu ata mamako mzaz waweza sema lakin ikiwa ni km key word kwa mengneyo kufuata basi uchune tu..MCHEK WAIF MWULIZE UMETOKAJE LEO?....akiikujibu mwambie najua utakua umetoka bomba kishenzi leo..
wewe hata kabla ya kutuuliza hapa,
inaonyesha ndo zako hizo lol...
Nimemwambia mdada mmoja kuwa amependeza amenijibu eti "kwani wewe ndio unajua leo,mbona ni kawaida yangu".,nikaona asubuhi yangu imeshaharibika.
mi nimemwambia mmoja, kafurahi kasema asante kaka angu.
Kama asubuhi hii ofisini kwako kuna mwanamke (hata kama mke wa mtu), ambaye bado hujaonana naye, ukionana naye, katika salamu changanya na neo "umependeza sana". I mean kwa mfano 'Mambo... umependeza'
Then angalia jibu na response utakayopata, kisha tutaidiscuss baadae.
Leo nimeamua niwashirikishe katika tafiti zangu ili akina Marytina wasianze kuniuliuliza mambo ya sample size...
.........mbona unataka kumtia majaribuni binti wa watu?????Mi niko likizo, wife kaondoka asubuhu asubuhi, sasa najiuliza hii niiapply kwa mdada wetu wa kazi au niipotezee nisije leta matatizo! Mwongozo tafadhari.