MAMNYOKA
Senior Member
- May 24, 2014
- 163
- 48
- Thread starter
- #21
Tatizo hata wavulana mnawaita wanaume siku hizi.
Mwanamme anakimbia wanawake.
Wiki hii nimepigiwa simu na ma ex wanne, wote wananitafuta, mwingine ananiomba msamaha kwa mambo hata sikumbuki, mwingine anautaka muhogo anasingizia keyboard yake imeharibika nimpelekee keyboard wakati duka la keyboard analijua (nimemnunulia na kumtumia online kutoka Amazon halafu nimempotezea), mwingine analazimisha kurudiana, mwingine anaulizia nitakwenda kumuona lini.
Na wote nimewafungia vioo.
Hutanikuta nikimpangia maisha ex kwa sababu mimi mwenyewe nina mambo mengi sana maisha haya.
Sasa huyo mtu anayefuatilia maisha yako wakati mshaachana huyo nina wasiwasi ni mvulana, si mwanamme.
imekugusa keyboard mzima sana tu pole ujumbe umefika maisha gan unayowaza wew zaidi ya fitina