Ricky Blair
JF-Expert Member
- Mar 13, 2023
- 391
- 872
Jamani sisi wanaume tumechoka kutafuta affordable decent clothes, shoes, bags even designer clothes. It seems watu wanawaza wanawake tu wakidhani hao ndio wakuvaa nguo tu na kupendeza sisi tuwe kama vichaa tu.
Designers ndio kabisa, walishajiweka ku deal na nguo za men but exclusively women; najua wanadhani hivyo sababu wanawake wengi are obsessed na kubadili badili na pia wengi wanahudumiwa na wanaume lakini na wanaume pia need to look good na sana sana of the working class ila sasa nguo za wanaume, viatu ni bei sana, hata nguo za watoto wa kiume pia.
Many clothes shops cater to women tu hadi inakera and it can get super boring. Kama design fulani wakivaa wanaume halafu wanawake wakaiga, wanaume tukiendelea kuzivaa tu basi basi tujiandae kuambiwa tumehama upande, INACHOSHA!
We need affordable designer clothes, za daraja la kawaida pamoja viatu vya bei nafuu kwa wanaume wa kawaida.
Designers ndio kabisa, walishajiweka ku deal na nguo za men but exclusively women; najua wanadhani hivyo sababu wanawake wengi are obsessed na kubadili badili na pia wengi wanahudumiwa na wanaume lakini na wanaume pia need to look good na sana sana of the working class ila sasa nguo za wanaume, viatu ni bei sana, hata nguo za watoto wa kiume pia.
Many clothes shops cater to women tu hadi inakera and it can get super boring. Kama design fulani wakivaa wanaume halafu wanawake wakaiga, wanaume tukiendelea kuzivaa tu basi basi tujiandae kuambiwa tumehama upande, INACHOSHA!
We need affordable designer clothes, za daraja la kawaida pamoja viatu vya bei nafuu kwa wanaume wa kawaida.