Kwa wanaume; Hii imekaaje??

Kwa wanaume; Hii imekaaje??

Hivi wanaume wenye uzoefu Hii imekaaje

Wakati mnapomaliza Mechi yaani Sex huwa hamtaki kuguswa hizo uume zenu au inakuaje

Kuna huyu Kijana Wakati wa maandalizi huwa ananilazimisha kabisa nishike dudu yake tena ananivuta mkono niiguse

Sasa kinachonishangaza mkishamaliza pale labdaa mmepumzika bed ukisema umshike anakuwa anakutoa mkono yaani ni mara zote yuko hivyo

Sasa huwa najiuliza ni kwamba nikimgusa anakuwa anaumia au hataki tu kuguswa
Wakati mwinginee unataka ujaribu ili mchezo uendelee unakuta anakutoa mkono

Ukweli nimeshindwa kumuuliza anatatizo gani

Sasa nataka nijue kwenu ninyi kwani huwa zinauma ukiguswa au ana kisirani tu huyu jamaa 🤧🤧
sio wote,japo najua kuwa wengi wetu tunapenda sana kushikwa dudu ama na mikono au kwa ulimi au midomo
 
Siku ingine mkiwa ktk maandalizi, akikuvutia mkono uishike dudu yake, nawee mtoe mkono.

Asikisumbue wala kukuchezea Lol
 
Asa dudu likishamaliza kazi huwa linataka likizo chap… usilazimishe, liko kwenye “Do Not Disturb’ mode!”

Ni kama simu ya TECNO, ikichoka inazima bila taarifa!
 
Ungejaribu na wasukuma, sasa unamshika mtu mmoja research za wapi hizo?? 😹
 
Hivi wanaume wenye uzoefu Hii imekaaje

Wakati mnapomaliza Mechi yaani Sex huwa hamtaki kuguswa hizo uume zenu au inakuaje

Kuna huyu Kijana Wakati wa maandalizi huwa ananilazimisha kabisa nishike dudu yake tena ananivuta mkono niiguse

Sasa kinachonishangaza mkishamaliza pale labdaa mmepumzika bed ukisema umshike anakuwa anakutoa mkono yaani ni mara zote yuko hivyo

Sasa huwa najiuliza ni kwamba nikimgusa anakuwa anaumia au hataki tu kuguswa
Wakati mwinginee unataka ujaribu ili mchezo uendelee unakuta anakutoa mkono

Ukweli nimeshindwa kumuuliza anatatizo gani

Sasa nataka nijue kwenu ninyi kwani huwa zinauma ukiguswa au ana kisirani tu huyu jamaa 🤧🤧
Health sex Iko na vibe,hayo.mashindqno ya tulipotokea tunamuachia Mujuni
 
Hivi wanaume wenye uzoefu Hii imekaaje

Wakati mnapomaliza Mechi yaani Sex huwa hamtaki kuguswa hizo uume zenu au inakuaje

Kuna huyu Kijana Wakati wa maandalizi huwa ananilazimisha kabisa nishike dudu yake tena ananivuta mkono niiguse

Sasa kinachonishangaza mkishamaliza pale labdaa mmepumzika bed ukisema umshike anakuwa anakutoa mkono yaani ni mara zote yuko hivyo

Sasa huwa najiuliza ni kwamba nikimgusa anakuwa anaumia au hataki tu kuguswa
Wakati mwinginee unataka ujaribu ili mchezo uendelee unakuta anakutoa mkono

Ukweli nimeshindwa kumuuliza anatatizo gani

Sasa nataka nijue kwenu ninyi kwani huwa zinauma ukiguswa au ana kisirani tu huyu jamaa 🤧🤧
Huna Radha hata hisia Tu za Mwanzo nimelazimisha unichezee Kwanza ndo msuli ukaze.


Kwa kifupi Kama ndo Mimi Basi hunivutii kabisa
 
Inategemea mtu na mtu wengine wakishakupakia mkongo hata ukiilaza humor humo freshi tu hawahisi chochote zaidi anawaza aendelee kukupelekea moto, lakini Kwa experience yangu nikimaliza kukojoa tu ukinigusa nahisi kama nimepigwa shoti ya umeme, Kuna hisia flani hivi kama ganzi SI ganzi, Huwa sifurahii ukinigusa Kwa mkono, Bora hata ibakie tu huko ndani ukiendelea kuifinyia Kwa ndani Huwa nahisi kama unanichengetesha dakika sifuri tu mnara unarudi 5G, ushauri wangu mwambie akimaliza kumwaga asichomoe akuachie ufinyie Kwa ndani utanishkuru baadae, maana unaweza kuhongwa nyumba ya urisi kama anayo.
Kwa mawasiliano zaidi njoo inbox
Dudu kubwaa naibaniaje kwa ndani mkuu unajua maumivu yake 🥹
 
Hata wanawake wengi kuna ambao akisha kojoa hataki kabisa kuguswa sehemu zenye msisimko kama nyonyo, k, nk. Itakua wewe hufikagi kileleni ndio maana unataka kurudia gemu saa iyo iyo.

Kwa sisi wanaume, kitaalamu kufunga goli 1 ni sawa na kutembea kilometa 7. Kwahiyo baada ya hapo unahitaji angalau nusu saa ya kupumzika, ikiwezekana unywe maji au ule kitu kurudisha nguvu kabla ya kuendelea na mechi.
 
Back
Top Bottom