GOKILI
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 639
- 443
Ndugu zangu nauliza leo,ili nipate kufahamishwa;Tulikuwa mimi na baba,mama ,mke na mwanangu.Tuliipanga safari tukiwa ndani ya ngalawa;katikati ya bahari ngalawa yetu ilizama. . . . .Ndugu zangu nifahamisheni nimuokoe nani.Wa kwanza baba wa pili mama nimuokoe nani,mke wangu na mwanangu wote wakinitegenea . . .