Loveness James
Member
- Oct 4, 2016
- 23
- 2
Yangu
Eleza vzr na uwe mkweli, za aina mbli kivipi?Hizo supp zipo za aina mbili direct na indirect supp
Unasoma hapo?Direct supp usipotimiza kwenye wastani wa mitihani ya mwisho na Indirect usipotimiza kwenye course work
Asanteofisi ya chaso inawakarishaaa sanaaaa sautt
Hii namba yako mbona haipatikani we bibie? Kama unayo ya Tigo niwekee hapa basi.0766027002
Karibu mkuu utatoka umeizaNimeomba hapo diploma ya sociology.
Bado panawika mkuu kwa masha ndio saut yenyeweWajiandae kukutana na kina Sijjo, Papaa Mlongo aka Kambale Katungo,Maina, Munga, hvi Fr Maziku yupo? Dah..... Mara kaluhawe, Munga, Kitima na wengneooo!!! Mkaribie sehem moja inaitwa kwa Masha, cjui bado inawika? Ama uzunguni.
Hakuna disco sautMmmmmh sup 49 ,bac discontinued zitawahusu weng.
Jiandae tuu kisaikolojia hamna namna..Na demu wangu anaenda kuanza huko kusona diploma kawasili leo demu ni mkali hatar sijui nijiandae kisaikolojia kuchapiwa?
Nan aliyesoma SAUT Mwanza? Ni chuo ambacho kinatoa competent graduates. Zao la pale kwa kweli huwa limeiva. Kwa vijana wanaotegemea kujiunga first year pale wawe na amani kabisaaa. Cha muhimu zaid inabidi wawe serious. Grading n tofaut na vyuo kadhaa vya serikali. Supp inaanzia 49. Karibuni Saut Main campus-Mwanza.[/QUOTE
Yaani saut ni nouma, nakumbuka kuna somo moja nilipataga 49.5 nikasupp, nika appeal, bado 0.5 ikakosekana, lol! 50 ndio C, muziki wa saut ni mzito kwa kweliNan aliyesoma SAUT Mwanza? Ni chuo ambacho kinatoa competent graduates. Zao la pale kwa kweli huwa limeiva. Kwa vijana wanaotegemea kujiunga first year pale wawe na amani kabisaaa. Cha muhimu zaid inabidi wawe serious. Grading n tofaut na vyuo kadhaa vya serikali. Supp inaanzia 49. Karibuni Saut Main campus-Mwanza.
Nani alikwambia kuwa SAUT kuna discontinued?Mmmmmh sup 49 ,bac discontinued zitawahusu weng.
Nipe namba zake MkuuNa demu wangu anaenda kuanza huko kusona diploma kawasili leo demu ni mkali hatar sijui nijiandae kisaikolojia kuchapiwa?
Wajiandae kukutana na kina Sijjo, Papaa Mlongo aka Kambale Katungo,Maina, Munga, hvi Fr Maziku yupo? Dah..... Mara kaluhawe, Munga, Kitima na wengneooo!!! Mkaribie sehem moja inaitwa kwa Masha, cjui bado inawika? Ama uzunguni.
Sijjo yupo mwl mtata hv ana physical challenges (mguu mmoja hayuko fit), ana upaa.... Na n mkali sana, ndio yeye!?Sijjo??ni mwal hapo Sauti? Alinifunza miaka kadhaa secondary