Kwa wanaotarajia kujiunga SAUT Mwanza

Kwa wanaotarajia kujiunga SAUT Mwanza

Kweli Sauti wazuri kielimu hata ukienda na dv 4 ya form 6 utasoma kozi mwaka 1 then utaingia digrii. Sio kama mlimani wao ni dv 1 na 2 tu, dv 3 labda engineering
 
Kweli Sauti wazuri kielimu hata ukienda na dv 4 ya form 6 utasoma kozi mwaka 1 then utaingia digrii. Sio kama mlimani wao ni dv 1 na 2 tu, dv 3 labda engineering
Hahaaaaah mkuu watakajua hapa mi nakuonea huruma
 
hahahahahaha mazikuu yupooo kajaaa teleeee
kwa mashaaa bado kunawika balaaaa
malengeta ipo vile vile
boenfireeee ipoo
gala nyttt ipoooo
 
Mwaka huu wanachukua bachelor of education(kswhl n history)2016/2017
 
Nan aliyesoma SAUT Mwanza? Ni chuo ambacho kinatoa competent graduates. Zao la pale kwa kweli huwa limeiva. Kwa vijana wanaotegemea kujiunga first year pale wawe na amani kabisaaa. Cha muhimu zaid inabidi wawe serious. Grading n tofaut na vyuo kadhaa vya serikali. Supp inaanzia 49. Karibuni Saut Main campus-Mwanza.
Mmmmmh sup 49 ,bac discontinued zitawahusu weng.
 
Hapo hamna cha course mwaka wa mwsho unaulzwa masuara mbalmbal uliyoyasoma na walm toka deptment nyngne its like an interview
 
nitafutieni Apartment SAUT bei yangu ni 300000-350000.
 
Nimepata my B.A in Mass communication specialising in Public Relations (2009-2012) I had gud time kwa kweli wanafacility zote kwenye course za journalism
Nilienjoy kuishi mwanza pia
 
nitafutieni Apartment SAUT bei yangu ni 300000-350000.
Usijali kulipia apartment, mwaka huu ntakubeba ninapoishi ila sharti tu ujue kupika maana ndo challenge yangu kubwa..jiko la gesi double plate lipo na vyombo na msosi vipo skills zako tu za upishi.

I'm looking foward to hear from you mates.
 
Kweli Sauti wazuri kielimu hata ukienda na dv 4 ya form 6 utasoma kozi mwaka 1 then utaingia digrii. Sio kama mlimani wao ni dv 1 na 2 tu, dv 3 labda engineering
Achaa kudanganyaa mliman huez enda ENGINEERING div 3
 
Back
Top Bottom