Kwa wanaotarajia kujiunga SAUT Mwanza

Kwa wanaotarajia kujiunga SAUT Mwanza

strootboy

Member
Joined
Nov 28, 2015
Posts
49
Reaction score
40
Nan aliyesoma SAUT Mwanza? Ni chuo ambacho kinatoa competent graduates. Zao la pale kwa kweli huwa limeiva. Kwa vijana wanaotegemea kujiunga first year pale wawe na amani kabisaaa. Cha muhimu zaid inabidi wawe serious. Grading n tofaut na vyuo kadhaa vya serikali. Supp inaanzia 49. Karibuni Saut Main campus-Mwanza.
 
Nan aliyesoma SAUT Mwanza? Ni chuo ambacho kinatoa competent graduates. Zao la pale kwa kweli huwa limeiva. Kwa vijana wanaotegemea kujiunga first year pale wawe na amani kabisaaa. Cha muhimu zaid inabidi wawe serious. Grading n tofaut na vyuo kadhaa vya serikali. Supp inaanzia 49. Karibuni Saut Main campus-Mwanza.
Sasa kiongozi mbona fani ya electrical and civil engineering mwaka huu sijaiona kwenye guidebook?? au ndo hazipo kwa mwaka huu?????
 
ndugu zangu kama uliomba saut na ukapata hapa mwanza karibu sana
cha kwanza hapa ni kusoma sana
kuingia class ndo kufaulu kwako

wanaa wapo kibao 49 ni sup
viwanja vipo kutokana na uwezo wako
tuna ka belta ketu malimbe complex
mnyama ndogo na kwa manfloo
hostel zipo kuanzia laki tatu mpk milioni ni wewe tyu...
Karibu tujenge jiji la mungu
karibu kwa Mrumi
 
Wajiandae kukutana na kina Sijjo, Papaa Mlongo aka Kambale Katungo,Maina, Munga, hvi Fr Maziku yupo? Dah..... Mara kaluhawe, Munga, Kitima na wengneooo!!! Mkaribie sehem moja inaitwa kwa Masha, cjui bado inawika? Ama uzunguni.
 
Wajiandae kukutana na kina Sijjo, Papaa Mlongo aka Kambale Katungo,Maina, Munga, hvi Fr Maziku yupo? Dah..... Mara kaluhawe, Munga, Kitima na wengneooo!!! Mkaribie sehem moja inaitwa kwa Masha, cjui bado inawika? Ama uzunguni.
Hahahahha.. Nilisahau hii Mkuu French 2 ilikuwa mziki
 
Back
Top Bottom