Kwa Wanaojua Kinyamwezi.......

Kwa Wanaojua Kinyamwezi.......

Thanks You are such a darling kumbe ? ,mbona sifa zote hizi wewe tu ? ,dirty ,classy ,funny,sex smart ...ila roho ndio sijajua kama inafanana na Idd Amin

I will survive Kassie ,i will survive

Hahahaha hahahahahh full packed huh...

Nah not that much, just a little bit...
Hapo kwenye roho anajua Mola maana yeye ndo aliniwekea ya aina yake mie hata sijui mi najiona Kasie tuu na siku zinasonga heheheeh.
 
Hahahaha hahahahahh full packed huh...

Nah not that much, just a little bit...
Hapo kwenye roho anajua Mola maana yeye ndo aliniwekea ya aina yake mie hata sijui mi najiona Kasie tuu na siku zinasonga heheheeh.
Haha hivi Kassie babu takes a good care of you ? Forget about money and all other staffs ,does he cook for you ? Does he know that he's privileged to have you by his side ? What about breakfast in the bed ?

When was the last time he kissed you in your forehead and tell you hey don't worry you will be fine

How often does he say i love you wifey ,Im sorry ,.........
How often do you pray together ?

Sheesh im getting emotional
 
Haha hivi Kassie babu takes a good care of you ? Forget about money and all other staffs ,does he cook for you ? Does he know that he's privileged to have you by his side ? What about breakfast in the bed ?

When was the last time he kissed you in your forehead and tell you hey don't worry you will be fine

How often does he say i love you wifey ,Im sorry ,.........
How often do you pray together ?

Sheesh im getting emotional

Hahahahahahah yuuuuu yuuuuu Yuuuu I luku luku yuuu hehehehehehehehee

When it comes to careness Kasie is almost helpless..... All the items you mentioned above ndo maugonjwa ya Kasie hayoo ukifanya hivo Kasie mbona hafurukutii wala hata aitwe na psii psii barabarani hageuki woow praying together. ... bed breakfast ooh my.... am getting emotional too....yaay.
 
Hahahahahahah yuuuuu yuuuuu Yuuuu I luku luku yuuu hehehehehehehehee

When it comes to careness Kasie is almost helpless..... All the items you mentioned above ndo maugonjwa ya Kasie hayoo ukifanya hivo Kasie mbona hafurukutii wala hata aitwe na psii psii barabarani hageuki woow praying together. ... bed breakfast ooh my.... am getting emotional too....yaay.
Yaaaaaay

I real wana explore you ila naona utakuwa kama Serengeti plains vile sijui nini cha ku expect naweza fikiri nakutana na simba kumbe wapi ni Nyumbu wanavuka mto Mara ama naweza fikiri nakutana na Pundamilia kumbe Nyegere anatafuta aliyeiba asali zake amng'oe korodani ...

ila at the end sitajutia pia itakuwa moja ya adventure kubwa kwangu
Una multiple personality

Who is Kassie ?
 
Yaaaaaay

I real wana explore you ila naona utakuwa kama Serengeti plains vile sijui nini cha ku expect naweza fikiri nakutana na simba kumbe wapi ni Nyumbu wanavuka mto Mara ama naweza fikiri nakutana na Pundamilia kumbe Nyegere anatafuta aliyeiba asali zake amng'oe korodani ...

ila at the end sitajutia pia itakuwa moja ya adventure kubwa kwangu
Una multiple personality

Who is Kassie ?

Kasie is the one and only always here in JF labda at okee Kasie 2 au Kasie mdogo na ikitokea mtu akaingia kwa hivyo ningependa anishirikishe kwanza.

I am who I am, as I've been portraying here in JF that's how I live. I don't have any double thing it's me myself and I.

If it's adventure to you, have fun and enjoy.
Umeongelea Serengeti plains umenikumbusha kesho nikalipie trip yangu ya kwenda park camp sites two nights in Nairobi in December. Kisha nione nta vacate wapi na wapi tena for conservative 30 days then new year narudi kazini mwepesiiii na nguvu mupyaa.
 
Mdau naona kama Njiwa anaingia kwenye mtego wa karanga na mchele
Nilikutakia baraka ufanikiwe mpaka ushangae naona inaelekea kujibu all the best mkuu
 
Kasie is the one and only always here in JF labda at okee Kasie 2 au Kasie mdogo na ikitokea mtu akaingia kwa hivyo ningependa anishirikishe kwanza.

I am who I am, as I've been portraying here in JF that's how I live. I don't have any double thing it's me myself and I.

If it's adventure to you, have fun and enjoy.
Umeongelea Serengeti plains umenikumbusha kesho nikalipie trip yangu ya kwenda park camp sites two nights in Nairobi in December. Kisha nione nta vacate wapi na wapi tena for conservative 30 days then new year narudi kazini mwepesiiii na nguvu mupyaa.
Oyorapapoposhika ,rakasanda rabashika ,unanifanya ni nene kwa lugha
Humu Jf najua hakuna Kassie na hata akitokea hawezi kuwa kama Kassie hilo nime notice mda kidogo

Such a free soul

Oh im glad nimekukumbusha ukalipie tickets

Do you think we have anything in common ?


Why do you think men are stupid ?
 
Mdau naona kama Njiwa anaingia kwenye mtego wa karanga na mchele
Nilikutakia baraka ufanikiwe mpaka ushangae naona inaelekea kujibu all the best mkuu
umenichekesha sana NEXT LEVEL
Asante kwa baraka zako japo ndege mnana yupo very smart nashindwa kumcorner
 
Wamfuma mwikulu =nisamehe mjukuu
Mwikulu wangaluka mwana wa Ntemi=Nenda kwa mjukuu wangu Yamakagashi
Walolo mayo watolwa mwana wa ntemi = Ndio mikono salama ninayokuacha kabla sijafa

Sasa ushauri usipo ufanyia kazi shauri yako
Hapana!!!unatuingiza chaka
 
umenichekesha sana NEXT LEVEL
Asante kwa baraka zako japo ndege mnana yupo very smart nashindwa kumcorner
Haaahaaa mwambie Standard gauge ya reli ya kati ikikamilika utamnunulia aimiliki yeye, atakuwa na free pass kupanda Bombardier kwa destination apendayo, Kisima kimoja cha Gas ya Mtwara utampa, mafuta atajaza bure full tank kila akijisikia toka bomba la mafuta Uganda-Tanga,utampatia Ranch ya Ruvu kwa nyama choma na mishikaki,etc tuanzie hapo kwanza ukiona bado analeta kaugumu nicheck ili tupigilie misumali ya mwisho kwa kumwahidi Mbuga za wanyama kadhaa hatoki mkuu as long kafungua sikio kukusikiliza close the deal mkuu.
 
Oyorapapoposhika ,rakasanda rabashika ,unanifanya ni nene kwa lugha
Humu Jf najua hakuna Kassie na hata akitokea hawezi kuwa kama Kassie hilo nime notice mda kidogo

Such a free soul

Oh im glad nimekukumbusha ukalipie tickets

Do you think we have anything in common ?


Why do you think men are stupid ?

Hahahahahahaaa kunena kwa lugha tenaa....
Mmmhh Kasie is always free like a molecule fleeing everywhere ......

Common thing about us....... I have seen it.. have you? Wanna say something about the trip?

Hahahahaha I don't know why men are stupid, you tell me please.
 
Haaahaaa mwambie Standard gauge ya reli ya kati ikikamilika utamnunulia aimiliki yeye, atakuwa na free pass kupanda Bombardier kwa destination apendayo, Kisima kimoja cha Gas ya Mtwara utampa, mafuta atajaza bure full tank kila akijisikia toka bomba la mafuta Uganda-Tanga,utampatia Ranch ya Ruvu kwa nyama choma na mishikaki,etc tuanzie hapo kwanza ukiona bado analeta kaugumu nicheck ili tupigilie misumali ya mwisho kwa kumwahidi Mbuga za wanyama kadhaa hatoki mkuu as long kafungua sikio kukusikiliza close the deal mkuu.
Hahah Aiseeee hapa unaniingiza chaka kuna wa kuwaambia hivi ila sio Kassie

You need to know how she thinks ndio uweze kwenda naye sambamba
Nakesha naye hapa mpaka liamba ndio nijue kama najitosa au simuwezi
 
Hahah Aiseeee hapa unaniingiza chaka kuna wa kuwaambia hivi ila sio Kassie

You need to know how she thinks ndio uweze kwenda naye sambamba
Nakesha naye hapa mpaka liamba ndio nijue kama najitosa au simuwezi
Mkuu nakuibia siri anapenda makuu kuliko makuu yenyewe siyo mtu cheap cheap so Sera zako na ahadi ziwe za ukweli mfano ndoa kufungiwa kwenye Sayari ya Mars yaani etc siyo maua na chips kuku atakwambia maua mpelekee nyuki...
 
Back
Top Bottom