Kwa Wanaojua Kinyamwezi.......

Kwa Wanaojua Kinyamwezi.......

dah wewe jamaa una hatari ,mzaramo nini ? Sipati picha ukiwa unatongoza mwanamke anakuwa kwenye hali gani
Njiwa mwenyewe karuka mitego,manati,mishale ya kila aina so ukimwendea ujipange vizuri siyo uende na song la "Nitakupa Samaki Unikubalie" won't work inabidi ukanunue nyavu aina ya Kokolo yaweza kukusaidie nadhani mpaka hapo umeamini kwamba nakutakia mafanikio.
 
Wamfuma mwikulu =nisamehe mjukuu
Mwikulu wangaluka mwana wa Ntemi=Nenda kwa mjukuu wangu Yamakagashi
Walolo mayo watolwa mwana wa ntemi = Ndio mikono salama ninayokuacha kabla sijafa

Sasa ushauri usipo ufanyia kazi shauri yako
Acha uongo
 
Njiwa mwenyewe karuka mitego,manati,mishale ya kila aina so ukimwendea ujipange vizuri siyo uende na song la "Nitakupa Samaki Unikubalie" won't work inabidi ukanunue nyavu aina ya Kokolo yaweza kukusaidie nadhani mpaka hapo umeamini kwamba nakutakia mafanikio.
Hahaha mkuu hapo unafikiria nitaenda na tongozo gani labda aamue kunipenda bure

Kuna wazee nawaona hapo juu wanavyomaga sera zao ngoja niwaachie

Kassie akiamua kunipenda bure basi heri asipoamua basi tena
 
Hahaha mkuu hapo unafikiria nitaenda na tongozo gani labda aamue kunipenda bure

Kuna wazee nawaona hapo juu wanavyomaga sera zao ngoja niwaachie

Kassie akiamua kunipenda bure basi heri asipoamua basi tena

Kasie ulevi wake mdogo tuu, muimbie nyimbo nyimbo nyingi nyingi tuu, mojawapo ikimkuna basi umempata.
 
Kasie ulevi wake mdogo tuu, muimbie nyimbo nyimbo nyingi nyingi tuu, mojawapo ikimkuna basi umempata.
Njogereza njogereza, njogereza
Njogereza akawaala ako'mukulu, olwa'leero njogereza
Njogereza akawaala kegombye, njogereza
Katulabe ekiva muyebilaka, olwa'leero njogereza.
Njogereza njogereza, njogereza
Njogereza akawaala ako'mukulu, olwa'leero njogereza
njogereza akawaala kegombye, njogereza
Katulabe ekiva muyebilaka olwa'leero njogereza.

Omwana wakabaka, osaanye nompuliriza baby
yoyayoya yoya nkuwerewo, ebyange sibilwisa yo baby
amanya bampita Lubwama, nva mulugya lwa kigozi
ndimuzukulu wa lubwama, siiga lya ndegeya, ahaa
 
Njogereza njogereza, njogereza
Njogereza akawaala ako'mukulu, olwa'leero njogereza
Njogereza akawaala kegombye, njogereza
Katulabe ekiva muyebilaka, olwa'leero njogereza.
Njogereza njogereza, njogereza
Njogereza akawaala ako'mukulu, olwa'leero njogereza
njogereza akawaala kegombye, njogereza
Katulabe ekiva muyebilaka olwa'leero njogereza.

Omwana wakabaka, osaanye nompuliriza baby
yoyayoya yoya nkuwerewo, ebyange sibilwisa yo baby
amanya bampita Lubwama, nva mulugya lwa kigozi
ndimuzukulu wa lubwama, siiga lya ndegeya, ahaa

Aaahahahahhaa ndo lugha gani hii naona ina kibantu na kiinglish humo humo heheheheee
Haya weka na tafsiri yake, halafu uendelee kuimba hadi ninogewe wimbo mwingine na mwingine tena.

Ila babu ake Kasie akikubamba unaniimbia mie nakukana kuwa sikujui looh heheheheee (jiandae kwa hilo).
 
Kasinde shigha du mbora

Hayaa nawacha...

Ila..... kuna kitu muda wote huu najaribu kukumbuka lakini kumbukumbu inagoma..... kinachonijia akilini ni kuwa kuna kitu nilikuwa sijakamilisha kwako au hujamalizia kwangu sikumbuki ni nini, ila kilianzia humuhumu jukwaani..... kumbukumbu imegoma kabisaa.
 
Aaahahahahhaa ndo lugha gani hii naona ina kibantu na kiinglish humo humo heheheheee
Haya weka na tafsiri yake, halafu uendelee kuimba hadi ninogewe wimbo mwingine na mwingine tena.

Ila babu ake Kasie akikubamba unaniimbia mie nakukana kuwa sikujui looh heheheheee (jiandae kwa hilo).
Teh teh juhudi zote hizi nafanya kubahatisha kumbe babu akitokea nakanwa ? Sasa nakauka koo hapa bure kumbe naburudisha babu akija ajichukulie tu ?
Basi sitoi tafsiri babu akiona mwambie huyu ni mgonjwa wa akili hunielewi

Ndio bye bye Kasie tutaonana panapo majaliwa

Namaganda nze tombonyabonya, oweffumbe nze tonumya baby,
nandyagadde nkunanike empeta kasita ebintu tobiwanvuya
Ndimwana wa mpiisa nze banjulira ,banjulira ndi mukwata mpola
njagala kutwaleko mumawanga ge'bweru ,nkujje kukaalo nkulambuze ensi eno



Aaahahahahhaa ndo lugha gani hii naona ina kibantu na kiinglish humo humo heheheheee
Haya weka na tafsiri yake, halafu uendelee kuimba hadi ninogewe wimbo mwingine na mwingine tena.

Ila babu ake Kasie akikubamba unaniimbia mie nakukana kuwa sikujui looh heheheheee (jiandae kwa hilo).
 
Hayaa nawacha...

Ila..... kuna kitu muda wote huu najaribu kukumbuka lakini kumbukumbu inagoma..... kinachonijia akilini ni kuwa kuna kitu nilikuwa sijakamilisha kwako au hujamalizia kwangu sikumbuki ni nini, ila kilianzia humuhumu jukwaani..... kumbukumbu imegoma kabisaa.
Mmh ni kweli kasie but I jus can't remember exactly ni kitu gani
 
Teh teh juhudi zote hizi nafanya kubahatisha kumbe babu akitokea nakanwa ? Sasa nakauka koo hapa bure kumbe naburudisha babu akija ajichukulie tu ?
Basi sitoi tafsiri babu akiona mwambie huyu ni mgonjwa wa akili hunielewi

Ndio bye bye Kasie tutaonana panapo majaliwa

Namaganda nze tombonyabonya, oweffumbe nze tonumya baby,
nandyagadde nkunanike empeta kasita ebintu tobiwanvuya
Ndimwana wa mpiisa nze banjulira ,banjulira ndi mukwata mpola
njagala kutwaleko mumawanga ge'bweru ,nkujje kukaalo nkulambuze ensi eno

Hhahahahahahahahahaa heheheheheheheheheeee hahahahahahahahahahahahahhahahahahahahaaaaaa iihihihihihihihihihihihihihihihihihihihihhh aaahhhh hahahahaaa jamaniii looh

Yaani unajua wewe na babu Asprin mnanivunja mbavu na kufanya hapa nilipo nionekane hamnazo hehehehehehehheee

Sasa ukisusa wenzio, vizuri huwa viko radhi kuhatarishwa hata uhai, haya bana nashukuru lkini kwa burudani usijali babu atasoma tuu hapa na akipata maana yake atakufata hukohuko ulikoenda, jiandae tuu heheheheeee.
Acha niendelee kucheka na kufurahia maisha mie aah.
 
Back
Top Bottom