kwa wanandoa tu!

kwa wanandoa tu!

kuna pahala nilisoma pameandikwa..........if you are afraid of loneliness, do not marry
sasa sijui kuna ukweli hapo....manake people do really cheat ( kasoro mume wa natalia tu)

na mimi....
 
hahahaha! funguka tu mkuu kwa faida ya wote maana huu umekuwa utata sasa!
Tatizo la hii topic, nikijib hapa hata akina nivea watashtukia natoka nje... no, wataamini natoka nje...
 
Tatizo la hii topic, nikijib hapa hata akina nivea watashtukia natoka nje... no, wataamini natoka nje...
nonononono my kaka Tuko toa maoni yako mimi sintashitukia we sema tu
 
Last edited by a moderator:
sasa na sisi akina mama tunaruhusiwa kucheat wakati gani? yaani mume akiwa katika hali gani ndio tucheat?
Taarifa baada ya habari!!!!!!
Kucheat kunaruhusiwa kimtindo especially mamaa anapokuwa amejifungua na analea ila ndomu kama kawaida na usiruhusu nyumba ndogo itawale familia yako bana. mamaa akipona rudi nyumbani bana na nyumba ndogo piga chini!!!!!the most important thing is that do whatever you can mamaa asijue ulicheat!!!!!!
 
wooi......tena wewe ndo wala usiseme.......braza we mbayaaaa......acha kabisa....nakuonaga unavosaundisha

weeeeeee... ma namsaundishaga muke wangu tu...
 
well said mdada... nimekukubali, tatizo ni kwamba wanaume wenhi wanaamini kuwa na mwanamke mmoja haiwezekani...

ni kwasababu ni walafi wa wanawake na tamaa zimewajaa ndio maana hawaishi kulalamika.
 
Kwa kifupi wa mama/dada wengi tukishaolewa tunajisahau sana, kwanini smallhouse isi take place?
 
Kwa kweli ni tamaa. Bahati mbaya ghost hilo limeanza kuni-haunt,ila nalipinga kwa nguvu zote na ninaomba Mungu anisaidie. Tatizo vibinti vya sasa vinavaa very nasty and tempting clothes, ninaweza hamishia hasira kwa mke wangu(kwanye mamboz) but kesho tena nikiona ni yaleyale. Sijawahi msaliti mke wangu, ila tabu ninaipata.
 
huwa ni tamaa tu,ila mtu anatakiwa aishinde tamaaa na aongozwe na akili yake na si tamaa:smiling:
 
lara1, wewe ni mkali...si kwa sababu ya kubadili avatar yako, bali ni aina ya majibu ambayo huwa unayatoa ....mimi binafsi nayakubali.[QUOTE=lara 1;5020867]THE LAW OF DIMINISHING MARGINAL UTILITY!!!!!!!!! Baaaaaaaaaaaaaassss![/QUOTE]
 
kutoka nje ya ndoa ni tabia tu,kama zilivyo kuvuta sigara na pombe kupita kiasi.kujirekebisha is the only solution.na kuwa na muda na mwenzi wako,jaribu kumpa muda zaidi pamoja na wewe,mzunguke wote pamoja,mueleweshane,,,mambo mswano,mtasonga.

una akili sana
 
naona mjadala unaendelea vizuri na ninashukuru sana kwani ninazidi kujifunza vitu vingi kwa kweli! asanteni sana wadau!
 
Back
Top Bottom