Jambo la kwanza ni mazoea mabaya,ukishamzoea mpz wako vibaya unamchoka then mtu anatoka nje akidhan ni solution kumbe ni matatizo zaid anabak kubadilisha kila kukicha.
Pili wanandoa wengi hawataki kuelezana ukwel kwa yale wayapendayo na wasiyoyapenda,vilevile hawatak kuchallange the challenge that challenging them instead of they escape,hapo ndo inakuja tabia ya kukomoana.
Tatu watu hawana upendo wa kweli bali hutamaniana hasa ktk mambo yaonekanayo,kwan upendo wa kweli huvumulia,haujivuni,haukos kuwa na adabu,hautafut mambo yake,hauhusudu,hufadhili,haufurahii udhalimu bali hufurahia pamoja na kwel,hauhesabu mabaya,huamini yote,hustahimil yote,hutamain yote na haupungui neno wkat wwt.
Wanandoa wengi hawana hofu ya Mungu,ukimuogopa Mungu utaogopa dhambi,na pia kumuomba Mungu ailinde ndoa yenu kwan wakat mwngine ni shetan tu unakuta vitabia vichafu vinaibuka from no where,mtu anabadilika ghafla wakat alikuwa na tabia nzur jua hapo shetan ameingilia ndoa yako tayar.
Nne kila mtu asimame ktk zamu yake,mwanaume ajue wajibu wake kwa mkewe na mkewe ajue wajibu wake kwa mumewe na inapotokea mmoja hajui bas ni busara itumike ktk kuelimishana na si kugombana na kuchukua maamuz yasiyo na busara.pia wanandoa wanatakiwa wathaminiane kila mmja na mwenzake na si mmoja kujiona ana haki zaid ya mwenzake,na kujua kwmb usichopenda ww kutendewa msimtendee mwenzako.