CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,304
- 12,997
tatizo wanandoa wengi huwa wanashindwa kufungua / kuzungumza na wenzi wao.. mf. kuna mwingine anapenda kuwa rough wakati wa tendo la ndoa.. lakini wakiingia katika ndoa wanajidai kuwa kama wazee... wanafanya tendo la ndoa kama wanaogopana.. hapo lazima mmojawapo atacheat kwa kutafuta wa kumtosheleza...
swali kwenu wanandoa wanaume.... je yale unayomfanyia kimada wako au anayokufanyia ushawahi kuyafanya kkwa mkeo... hujui kwamba nae anapenda?
swali kwenu wanandoa wanaume.... je yale unayomfanyia kimada wako au anayokufanyia ushawahi kuyafanya kkwa mkeo... hujui kwamba nae anapenda?