EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
Fanya ki-LuluVery tempting..... Hapa ndio you wish you were young so that you indulge. lol Best of Luck.
Fanya ki-LuluVery tempting..... Hapa ndio you wish you were young so that you indulge. lol Best of Luck.
ahh come on! niliipenda ndio maana nikazama PM kukutafuta na kukupa recommendation ...!! bahati mbaya nikakuta ninapotaka mimi kulala my sis ulishaamka kitambo.. na kupasahau.. hahaha
Jaman mtanisamehe kama nitakua nimeileta mahali siyo penyewe.
Kuna jamaa aliniambia the same kuwa anataka tu companya just for fun na tukakubaliana kutoka kwenda kwenye moja ya fukwe. Mimi nilimwambia wazi kuwa ni married na nina commitment therefore kampani itakuwa ya kawaida akakubali. Kweli tuliarrange na kwenda na kwakua ilikuwa ni mchana it was good for me.
sasa bwana kumbe yule jamaa ana mafrustration yake kibao, kufika kule hata soda niliyokunywa niliijutia manake nilianza kazi ya kumpa ushauri. kaka anamatitizo kuliko unayoweza kufikiri na ni ukweli pesa siyo amani. yaani sikuamin maisha ambayo amekua anaishi na jinsi anavyo pata shida. imagine dume limeoa but hajawah hata siku moja kufanyiwa jambo lolote na mkewe? yeye ndo wakudeki bedroom, na wakumfungulia mkewe geti usiku. niliona kama ni hadithi but ni kweli. niiambia nafsi yangu sitatoka tena na mtu kwa tabu niliyoipata.
Fanya ki-Lulu
relax love siendi tena so utanitoa wkend hii?naenda kumtengeneza huyu pedeshee hawezi kunidhalilisha nanma hii. Ngoja niruke kwa babu kama hajaongea mwenyewe sasa hivi . Lol !!
Twende weekend gate away then. Umri sio kigego kwanguYou can not Imagine nimefurahi vipi kukuona Pal....lol
Unakuwa na umri wa aina mbili.Naomba nieleweshwe ki-Lulu iko vipi?
relax love siendi tena so utanitoa wkend hii?
teh teh ujue sis jana nilitoa thread watu wakanitukana kweli lakini ndo ivo mtu unatoka nao kutoana stress anaanza kulalamika oooh mama mkwe bati limechukuliwa na bati kijijini, choo cha shangazi yangu kimejaa , mke wangu anadaiwa upatu mtaa mzima yaani unajuuuta kumfahamu.yaani hii post kwa kweli inafaa kabisa hapa... Ndio mahala pake haswa!!
Pamoja na yoote hayo nimecheka hadi tears zimelenga (sorry gfso but could not help it) thank you for sharing...
miss u lovefanya ki-lulu
Twende weekend gate away then. Umri sio kigego kwangu
Unakuwa na umri wa aina mbili.
Umri mmoja for weekend gateaways
Umri mwingine pale unapokumbwa na matatizo.
sea cliffmwa mwa mwa mwa mwa ............. Sema popote unapotaka kwenda hata kama ni mbinguni .
Twende weekend gate away then. Umri sio kigego kwangu
Unakuwa na umri wa aina mbili.
Umri mmoja for weekend gateaways
Umri mwingine pale unapokumbwa na matatizo.
teh teh ujue sis jana nilitoa thread watu wakanitukana kweli lakini ndo ivo mtu unatoka nao kutoana stress anaanza kulalamika oooh mama mkwe bati limechukuliwa na bati kijijini, choo cha shangazi yangu kimejaa , mke wangu anadaiwa upatu mtaa mzima yaani unajuuuta kumfahamu.
Mtu una stress zako mama yupo hosptal na oxygen ukitoka hapo pressure juu
wape tips za outing bwana hawa wanaume watatuua na pressure
teh teh ujue sis jana nilitoa thread watu wakanitukana kweli lakini ndo ivo mtu unatoka nao kutoana stress anaanza kulalamika oooh mama mkwe bati limechukuliwa na bati kijijini, choo cha shangazi yangu kimejaa , mke wangu anadaiwa upatu mtaa mzima yaani unajuuuta kumfahamu.
Mtu una stress zako mama yupo hosptal na oxygen ukitoka hapo pressure juu
wape tips za outing bwana hawa wanaume watatuua na pressure
Na wewe unataka weekend gateaway?miss u love
siwezi kuweka link my dear pitia tu thread zangu ya kwanza paleKabla sija comment naomba Link dear....
Me Love this... Ina maana haijalishi nipo 40's nikipanga kutoka na wewe for a Weekend getaway nakua kama a Lady wa early 20's, navalia thongs na bikinis kama underwear with lacy bras, a hot and crazy hairstyle, nice boots na the like. Nabadilisha kabisa hizi granny panties, cotton plaited skirts na the old fashioned wig I wear.... Am I right? lol
Umri kwako ni kigezo? Nilidhani ni fwedha kwa kwenda mbele?How old are you by the way? hahahah
heri huyo wengine unapigwa na mzinga kabisasmile your right kabisa, mimi mtu anaanza ooh mke wangu hanipi unyumba, mara ooh ananiambia nimpasie nguo, mara hajawah hata kunifulia. kila siku mm ndio namfungulia geti. yaani nilichanganyikiwa nikasema sasa am I having fun or confused? hawa makaka hawajui nini maana ya raha bwana, wao wakiwa na mauchungu yao wanatafuta pa kulilia. kimsingi inaboa sana. itabidi wadada wa jf tuwaanzishie darasa la jinsi ya ku have fun na partner.