stanleyRuta
JF-Expert Member
- Jul 19, 2014
- 851
- 518
Dah mkuu umenikumbusha Bwanga. Nimesota sana hapo na wachina Wa Sino Hydro....Nchi inaibiwa kwa mgongo wa kufufua ATCL. Mkiamka mtakuta mwenzenu kafika Bwanga akielekea home town(Chato).
Kitu cha usd110M mnaambiwa usd224.6M. Pombe siyo chai.