Kwa walioziponda Bombadier na kuziita pangaboi hii imekaaje ?

This is not our priority at all.

Mimi na yule tutaitumia hii ndege lakini kuna watu wanakufa kizembe sababu ya dawa huko hospitalini.

Maji safi na salama bado ni kitendawili katika nchi ambayo inalazimisha kukimbia wakati hata kusimama dede bado.

Hatukatai maendeleo ila yafuate vile vipaumbele ambavyo vitamgusa na kumnufaisha hata yule bibi wa kule Kolomije.
Hivi huu uzalendo wako umeanza lini na vipaumbele vya nchi ni vipi
 
This is not our priority at all.

Mimi na yule tutaitumia hii ndege lakini kuna watu wanakufa kizembe sababu ya dawa huko hospitalini.

Maji safi na salama bado ni kitendawili katika nchi ambayo inalazimisha kukimbia wakati hata kusimama dede bado.

Hatukatai maendeleo ila yafuate vile vipaumbele ambavyo vitamgusa na kumnufaisha hata yule bibi wa kule Kolomije.
Kichwa chako. Wakati flan mlilaum nchi haina hata ndege zake yenyewe. Na watu walikuwa wanakufa hospitalini. Haya ndege zimeletwa ho mara zina bei kubwa mara zina uwezo mdogo nyie watu sio wazalendo ndo maana nchi yetu haiendelei. Msidhani maguruli ataiendeleza hii nchi peke yake bila sisi. Let us shut up our trap na kumpe ushirikiano rais wetu kuliko kulialia ovyo utadhani mtoto analilia uji
 
Nchi inaibiwa kwa mgongo wa kufufua ATCL. Mkiamka mtakuta mwenzenu kafika Bwanga akielekea home town(Chato).
Kitu cha usd110M mnaambiwa usd224.6M. Pombe siyo chai.
110? Nani kakudanganya? Unaamini kila uchafi wanaokuwekea humu ndani?
 
Tukisema pesa zetu zote, tulipe mishahara walimu, madaktari, wanajeshi, afya na elimu bure. Basi Tz ya viwanda haiwezekan labda Tz ya vibanda. Nakubari hivi anavyo vifanya rais kwa sasa sio priorities zetu, lakin lazima vifanyike ili tufike tunapo pataka. Kwa mfano hata katika familia zetu huwa inatokea wazazi wanamsomesha mtoto wao shule ya ghalama lakini wao wamepanga. Kumbe priority hapo ilikuw ni kujenga, lakini huwez jenga mtoto asipate elimu. Lazima tuwekeze na tujinyime vingine ktk kipindi kigumu ili haya matunda wayaone wajukuu zetu. Ufisadi upo kila mahari na kila taifa. Leo hii south Africa ndio nchi tajiri balani Africa. Lakini nani hajui kashifa za lile taifa? Tuache kulalamika vijana kweny social net work tufany kazi jmn. Tena ukiwa kijana wa jf great thinker, unachekesha unapo lalama kila kitu,bila hata kutoa njia zingine mbadala serikali ifanye.
 
Fastjet nao Wamenunua aina hio Ya ndege ATR kwa ajili ya kukabiliana na Airport korofi, Kuna dude litafika Mwezi wa saba ATCL, Viva JPM
 
Tukisema pesa zetu zote, tulipe mishahara walimu, madaktari, wanajeshi, afya na elimu bure. Basi Tz ya viwanda haiwezekan labda Tz ya vibanda. Nakubari hivi anavyo vifanya rais kwa sasa sio priorities zetu, lakin lazima vifanyike ili tufike tunapo pataka. Kwa mfano hata katika familia zetu huwa inatokea wazazi wanamsomesha mtoto wao shule ya ghalama lakini wao wamepanga. Kumbe priority hapo ilikuw ni kujenga, lakini huwez jenga mtoto asipate elimu. Lazima tuwekeze na tujinyime vingine ktk kipindi kigumu ili haya matunda wayaone wajukuu zetu. Ufisadi upo kila mahari na kila taifa. Leo hii south Africa ndio nchi tajiri balani Africa. Lakini nani hajui kashifa za lile taifa? Tuache kulalamika vijana kweny social net work tufany kazi jmn. Tena ukiwa kijana wa jf great thinker, unachekesha unapo lalama kila kitu,bila hata kutoa njia zingine mbadala serikali ifanye.
Well said mkuu, watu wanafikiri priority yao na family zao ndo iwe ya kila familia, hilo haliwezekani. Kila nchi ina priority yake kutoka na maono ya viongozi nchi husika. Kila siku oooh wenzetu Kenya mara Rwanda, kama unaona sera za Tanzania hazikufai nenda kaishi huko unapoona wanaishi kwa sera zikupendezayo. Kila Mtume aliletwa kwa kusudi maalum japo wote walitoka kwa Mungu.
 
Ni kawaida ya mpinzani kupinga kila lilo jema....hata kama ni nyeupe yeye atasema nyekundu.....hongera Mh. Raisi hakika wewe ndie chaguo la mungu kwetu sisi wanyonge wa hali ya chini.....mungu akurinde na akupe hekima zaidi ili ukapate timiza adhima yako njema kwa Taifa letu.......
Hirizi imegoma kutoka... mwambie akatubu
 
Swali ni kwamba, ndege na train za standard gauge ndio vitu tunavohitaj watanzania walala hoi? Au maendeleo hupimwa kwa umiliki wa vitu kama hivo ndege na train za standard gauge? Je maendeleo hayapimwi kwa upatakianaji wa dawa hospitali, maji safi, umeme, miundo mbinu bora ya barabara? Tafakari, Jiongeze!
Miundombinu bora sio barabara tu ,hata reli na trani za kisasa,thus why we come to standard gauge.
 
This is not our priority at all.

Mimi na yule tutaitumia hii ndege lakini kuna watu wanakufa kizembe sababu ya dawa huko hospitalini.

Maji safi na salama bado ni kitendawili katika nchi ambayo inalazimisha kukimbia wakati hata kusimama dede bado.

Hatukatai maendeleo ila yafuate vile vipaumbele ambavyo vitamgusa na kumnufaisha hata yule bibi wa kule Kolomije.
Daah kwahiyo unataja hata ndege nchi hii usiwe nayo?mkuu
 
This is not our priority at all.

Mimi na yule tutaitumia hii ndege lakini kuna watu wanakufa kizembe sababu ya dawa huko hospitalini.

Maji safi na salama bado ni kitendawili katika nchi ambayo inalazimisha kukimbia wakati hata kusimama dede bado.

Hatukatai maendeleo ila yafuate vile vipaumbele ambavyo vitamgusa na kumnufaisha hata yule bibi wa kule Kolomije.
Akili ni nywele na kwa bahati mbaya ndugu yetu anazo chache
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom