Kwa walioziponda Bombadier na kuziita pangaboi hii imekaaje ?

Cannabis

JF-Expert Member
Jan 20, 2014
8,937
25,279
IMG_20170419_092735.jpg
 
This is not our priority at all.

Mimi na yule tutaitumia hii ndege lakini kuna watu wanakufa kizembe sababu ya dawa huko hospitalini.

Maji safi na salama bado ni kitendawili katika nchi ambayo inalazimisha kukimbia wakati hata kusimama dede bado.

Hatukatai maendeleo ila yafuate vile vipaumbele ambavyo vitamgusa na kumnufaisha hata yule bibi wa kule Kolomije.
 
Zile wataziita pangaboi. Hii watakwambia sio kipaumbele kwa sababu haipondeki. Mwingine umeshamsoma hapo juu kakosa pote kakimbilia quatation za mfariji wake Mange eti Tunaibiwa inanunuliwa kwa bei isiyo halisi.

kweli bado tunasafari ndefu...
Acha ushabiki maandazi Njoo na details hakuna aliyeponda...Umeambiwa ingia kwenye website ya hao wauzaji then uone hiyo kitu inauzwaje
 
Ni kawaida ya mpinzani kupinga kila lilo jema....hata kama ni nyeupe yeye atasema nyekundu.....hongera Mh. Raisi hakika wewe ndie chaguo la mungu kwetu sisi wanyonge wa hali ya chini.....mungu akurinde na akupe hekima zaidi ili ukapate timiza adhima yako njema kwa Taifa letu.......
 
Zile wataziita pangaboi. Hii watakwambia sio kipaumbele kwa sababu haipondeki. Mwingine umeshamsoma hapo juu kakosa pote kakimbilia quatation za mfariji wake Mange eti Tunaibiwa inanunuliwa kwa bei isiyo halisi.

kweli bado tunasafari ndefu...
Tuna safari ndefu sana hasa kwa kuwa na watu kama nyinyi wenye akili za popo
 
Zile wataziita pangaboi. Hii watakwambia sio kipaumbele kwa sababu haipondeki. Mwingine umeshamsoma hapo juu kakosa pote kakimbilia quatation za mfariji wake Mange eti Tunaibiwa inanunuliwa kwa bei isiyo halisi.

kweli bado tunasafari ndefu...
Tatizo hata husomi. Kila kitu kipo kwenye mtandao. Bei na Wateja wake zipo wazi kwenye mtandao. Idadi ya ndege zilizobaki zipo kwenye mtandao. Haya tuambie basi ukweli wako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom