mbobezi11
Senior Member
- Jun 11, 2022
- 156
- 120
Naomba kupatiwa uzoefu kwa wale waliowahi kudisco Chuo kikuu cha Dar Es Salaam, hasa kwa wale kwenye cases tofauti ya kushindwa kufikisha GPA.
Mimi sijafanya mtihani wa Semester one, Kwa kukosa ada, Hii ikanaifanya niamue Ku postpone mpaka semester ya pili, Sasa kama tunavyojua mwaka wa masomo ndio huo unaisha na majibu yangu bado sijapata, wasiwasi wanguu ni kama ntaandikiwa DISCO, naomba kuuliza
(I) kwa case kama hii naweza kuwahi kuanza kama freasher October? Au nitakuwa tayari nimedisco ?
(I) ikiwa umeendikiwa Disco na wakati umeshaandika barua ya Ku postpone semester unaweza Ku appeal hiyo disco?
Na mambo mengine wakuu
Ahsanteni sana
Natokea
University of Dar es salaam School of Law (UDSoL)
Mimi sijafanya mtihani wa Semester one, Kwa kukosa ada, Hii ikanaifanya niamue Ku postpone mpaka semester ya pili, Sasa kama tunavyojua mwaka wa masomo ndio huo unaisha na majibu yangu bado sijapata, wasiwasi wanguu ni kama ntaandikiwa DISCO, naomba kuuliza
(I) kwa case kama hii naweza kuwahi kuanza kama freasher October? Au nitakuwa tayari nimedisco ?
(I) ikiwa umeendikiwa Disco na wakati umeshaandika barua ya Ku postpone semester unaweza Ku appeal hiyo disco?
Na mambo mengine wakuu
Ahsanteni sana
Natokea
University of Dar es salaam School of Law (UDSoL)