Kwa waliomaliza form 4, kama una roho ndogo usiende kusoma special schools (shule za vipaji maalumu)

Mimi nakumbuka miaka ya 2005 mimi na washkaji wangu wawili tumetokea shuke moja ya kata tukaenda Ilboru kufanya discussion hapo tupo form 4..

Tukaanza kusolve maswali tunapiga paper nzima discussion.. kwenye vipengele vya multiple choice bwana nilijifunza kitu sana kwao na kilinisaidia sana.

Tulisove paper moja tukafika kwenye kipgele hicho cha multiple choice tukakutana na swali ambalo majibu yake yanatuchanganya jamaa wa ilboru akamtuma mwenzake kwenda kufuata kitabu ili tupate jibu lake.. kitabu kililetwa akamwamvia fungua ukurasa flani tukasoma ukurasa huo mpaka tukapata jibu sahihi.

Wakati huo kule kwetu katani kama swali halieleweki tunatafuta jibu kwa kura au kufumba macho kisha unapandisha mkono unashusha taratibu kuelekea eneo la swali kidole ikiangua A tunahitimisha kuwa ndiyo jibu
.

Ila kuanzia pale nilijifunza kitu na ilinisaidia sana na nikafaulu bhana
 
Mimi aliniulizaga hivyo hivyo nikamwambia Mambo magumu sijui chochote akanambia pole huku Mimi nishatafuta data siku nyingi kwa kifoji
 
Wahanga wakubwa wa nacte ni 2012 4m 4 na 2013 4m 6, lilipita gharika ikabidi warudie rudie kupachika pachika tu, wapo waliobahatika na wengine walilalia kuti kavu. Ndio ikaletwa BRN baada ya hapo ufaulu ni kupaa tu toka hapo mpka leo.
Form six 2007 ulikuwa Bado hujazaliwa?
 
IPO nami nilibance nikaona hiyo imetiki sasa yeye anadai PCB nikamwambia haiwezekani kwa Sie wahenga A level 90s huko nikashangaa kuwa tcha wake amemwambia possible
Kama ni wa kike hizo points 10 anaweza kuchaguliwa PCB, wa kiume labda atasubiri second selection Au mpeleke private. Muache mtoto asome anachokipenda, kwanza CBG Haina dili Siku hizi

Pia anaweza kuchaguliwa CBG na akahamia PCB Kama Shule aliyopangiwa wanayo hiyo combination
 

Saivi unatusumbua kwenyejukwaa la Sports jamii,Kenge wewe
 
Haha dah umenikumbusha mbali sana , kuna watu walikuwa na mikwara balaa ila baada ya muda mnakuwa sawa
 
Ndegeulaya alikua na kipaji cha kufundisha ila kuanzia O level mpaka advance alikimbizwa na wadau ambao walikua hawan kelele.
 
Alikua headboy wangu MKUU nimesoma nae O level na Na advance nimepiga nae yeye alipiga PCM Mimi nilikua napiga EGM tulikua tunakutana kwenye Pure mathematics.
Hivi ndege aliwahi kua headboy azania? mbona sikumbuki.
 
Broo umenikumbusha mbali pigo inaanza nafauli comb za science basi nikaanza kupiga mapindi nilikuwa bitozi san enzi hizo mapind sifiki pesa ya tuition naishia kulamba mademu...... basi nikapangiwa advance nikatimba maskuli fresh kufika nakutana na mwana mmja alikuwa pcb enzi hizo.....
Jamaa akanikuta nimelal kweny kitanda bwenini akanitukana dogo unazingua umekuja sayansi na unalal sa3 sijui alikuja bwenini kufanyaje lakin stor ndo ilianzia hapo.
Mimi sikujali sana nikaendelea kulala freshi siku ya pili akanikuta tena akasimama bwenini dogo boya huyu analala sa3 humu amekuja kusoma au laa niliogop sana sem nilikuwa mtukutu ...... badae nikaenda darasani nakutana na wanafunzi wana solve organic ma chandi nikapagawa nikasem nimeyatimba lakin nashukur mungu nili adpt mazingira nikaanza kukata mapindi
Pigo ikaenda jamaa alikuwa form six nikawa nasem daah huyu jmaaa anajua sana maan kulala kwake ni sa9 usik mimi nikijiona sa3 nimejitahid
Jamaa akapiga ascee matokeo kutoka amelamba 17 three nikakaa kitandani nilicheka mpka machozi sijui yupo wapi sasa ingawa mimi pia sikufany vyema nilipat dv 2
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…