Kwa waliokua na Justin Bieber tujuane

Kwa waliokua na Justin Bieber tujuane

Unaposema ilikuwa scandal tu Mkuu hapa unajaribu ku-downplay jinsi industry ilivyokuwa na control juu ya maisha yake.

Alipo collapse industry ilimwacha aonekana kama a failed product ili wapate faida upande wa drama.

Hata kama sasa hivi amekuwa mtu poa, ukweli unabaki kuwa ule umaarufu ulikuwa a double edged sword ambayo ilimkatakata sana kabla hajaanza kujijenga upya, haikuwa scandal ya kawaida ile, ilikuwa ni calculated exploitation.
Sija downplay industry, ila sio kwa ukubwa huo ambao sisi tunahisi. Na alivyo collapse haikuwa eti planned bro, tutakuwa tunadanganyana like how could that be?

For Michael Jackson sawa, maana yeye mpk walikuwa wanampaka identity isiyo yake ila jamaa amekuwa mkweli ndo maana hali yake imezidi kuwa nzuri with time.

Ilikuwa planned mpka pale Alipo amua kubadilika, sasa hivi na yeye anacheza nao kibingwa kama Kanye west
 
Sija downplay industry, ila sio kwa ukubwa huo ambao sisi tunahisi. Na alivyo collapse haikuwa eti planned bro, tutakuwa tunadanganyana like how could that be?

For Michael Jackson sawa, maana yeye mpk walikuwa wanampaka identity isiyo yake ila jamaa amekuwa mkweli ndo maana hali yake imezidi kuwa nzuri with time.

Ilikuwa planned mpka pale Alipo amua kubadilika, sasa hivi na yeye anacheza nao kibingwa kama Kanye west
Ni kweli, kulinganisha na ilivyokuwa kwa Michael Jackson, Justin ameonyesha uwezo mkubwa wa reclaiming his narrative.
 
Ni kweli, kulinganisha na ilivyokuwa kwa Michael Jackson, Justin ameonyesha uwezo mkubwa wa reclaiming his narrative.
Na ndio, true healing
Wengi walimdown play,
Ilimkata sana zile scandal za diddiy but he believed akamrudia Mungu na aka rise again
 
UPE ndo nn tutoane ushamba
Universal Primary Education .
Mpango mkakati wa Nyerere kufuta ujinga.
Kwa sababu ya ukosefu wa waalimu kipindi hicho serikali iliwachukua wahitimu wa darasa la 7 ambao hawakubahatika kwenda sekondari lakini Wana ufaulu mzuri kiasi. Wakapelekwa kusomea ualimu wa shule ya msingi.
Waalimu hawa wengi walikuwa hawajui kiingereza sababu walihitimu elimu ya msingi tu, wakati huo shule ya msingi kiingereza kilifundishwa kama somo moja tu tena kuanzia darasa la 3.
 
Kumbe wanaosema wamekua mashoga kwasababu walinyanyaswa kingono ni waongo
Inategemea na muhusika? Justin hakunyanyaswa kingono bali emotionally walimchezea hisia

Mbona kuna wengi tu walinyanyaswa na hawakuwa hivyo? Kuna Oprah whinfrey ni mfano bora kwa nyie wanawake
 
Universal Primary Education .
Mpango mkakati wa Nyerere kufuta ujinga.
Kwa sababu ya ukosefu wa waalimu kipindi hicho serikali iliwachukua wahitimu wa darasa la 7 ambao hawakubahatika kwenda sekondari lakini Wana ufaulu mzuri kiasi. Wakapelekwa kusomea ualimu wa shule ya msingi.
Waalimu hawa wengi walikuwa hawajui kiingereza sababu walihitimu elimu ya msingi tu, wakati huo shule ya msingi kiingereza kilifundishwa kama somo moja tu tena kuanzia darasa la 3.
Sawa mkuu nimekupata👍
 
Inategemea na muhusika? Justin hakunyanyaswa kingono bali emotionally walimchezea hisia

Mbona kuna wengi tu walinyanyaswa na hawakuwa hivyo? Kuna Oprah whinfrey ni mfano bora kwa nyie wanawake
Mmhh sodhani kama anaweza kusema kuwa alinyanyaswa kingono

Hawezi kuturuhusu tujue Kila kitu kumhusu though Kuna skendo zinasema Didy Amewahi kumlawiti

Even 50 cent anasema kwamba hata usher Didy itakuwa ameshawahi kumfanyia hiyo michezo but hawezi kusema
 
Ni kweli , kutoboa pale lingekuwa ni suala lisilo wezekana kabisa.
Nakumbuka when I was young watu walikuwa wanamkwepa hata kufanya nae collabo baada ya Kesi zake

Yaani ukishapewa zile Kesi zao hata kama utashinda still Unakuwa umeshapoteza Uaminifu na Kila kitu hakuna kampuni itakayo taka kuwekeza kwako au kufanya kazi na wewe
 
Mmhh sodhani kama anaweza kusema kuwa alinyanyaswa kingono

Hawezi kuturuhusu tujue Kila kitu kumhusu though Kuna skendo zinasema Didy Amewahi kumlawiti

Even 50 cent anasema kwamba hata usher Didy itakuwa ameshawahi kumfanyia hiyo michezo but hawezi kusema
Sure thing zitabaki kuwa scandal tu, ila kumnyanyasa kihisia ilikuwa kawaida sana..

Kuna clip nyingi sana jb anaoenesha hili
 
Back
Top Bottom