Kwa waliokua na Justin Bieber tujuane

Kwa waliokua na Justin Bieber tujuane

Nakumbuka when I was young watu walikuwa wanamkwepa hata kufanya nae collabo baada ya Kesi zake

Yaani ukishapewa zile Kesi zao hata kama utashinda still Unakuwa umeshapoteza Uaminifu na Kila kitu hakuna kampuni itakayo taka kuwekeza kwako au kufanya kazi na wewe
Una mwongelea Michael Jackson?
 
Nani huyo wakukataa kufanya kazi na legend?
Eehh kumbe hujui !? Makampuni kibao yalikuwa Yana mkwepa baada ya skendo yake ya ngono /kulawiti

That's why baada ya zile Kesi hakuna tour kubwa Ambayo aliwahi kuifanya Tena , makampuni makubwa yote yalikuwa yanampa kisogo
 
Eehh kumbe hujui !? Makampuni kibao yalikuwa Yana mkwepa baada ya skendo yake ya ngono /kulawiti

That's why baada ya zile Kesi hakuna tour kubwa Ambayo aliwahi kuifanya Tena , makampuni makubwa yote yalikuwa yanampa kisogo
Ahaa I guess huyo sikumfatilia sana... Ila ni kweli kuna kipindi alipoa..
Ilikua ni before ya ile ngoma ya "they don't care about us"
 
Universal Primary Education .
Mpango mkakati wa Nyerere kufuta ujinga.
Kwa sababu ya ukosefu wa waalimu kipindi hicho serikali iliwachukua wahitimu wa darasa la 7 ambao hawakubahatika kwenda sekondari lakini Wana ufaulu mzuri kiasi. Wakapelekwa kusomea ualimu wa shule ya msingi.
Waalimu hawa wengi walikuwa hawajui kiingereza sababu walihitimu elimu ya msingi tu, wakati huo shule ya msingi kiingereza kilifundishwa kama somo moja tu tena kuanzia darasa la 3.
Ndio hawa walifundisha(ga) "Taimu izi makangabilite",yaani Time is making ability
 
Dah Mm nilidhani utani kumbe ilitokea sehem
Miaka hiyo kingeresa kilikuwa dili sana,yaani ukijua kingeresa wewe ni almasi,yaani wale waliokuwa wanafanya vizuri walichukuliwa na kupewa kozi ya muda mfupi ili kwenda kuziba ombwe ,hawa wamepotea makazini kabisa at the end of 2010 hivi
 
Miaka hiyo kingeresa kilikuwa dili sana,yaani ukijua kingeresa wewe ni almasi,yaani wale waliokuwa wanafanya vizuri walichukuliwa na kupewa kozi ya muda mfupi ili kwenda kuziba ombwe ,hawa wamepotea makazini kabisa at the end of 2010 hivi
Baada ya kutumbuliwa sio
 
lofa kweli gentleman:pedroP:
Throw Away Norm Macdonald GIF by MOODMAN.gif
 
Back
Top Bottom