falcon mombasa
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 9,213
- 9,334
Jamani kwa yeyote aliyefika kati ya sehemu hizo mbili Lubumbashi na Kinshasa tujuzane uzoefu nategemea kwenda huku august kuspend kwa wiki mbili,nia na madhumuni kujifunza na kuongeza upeo lakin kubwa zaidi kuangalia nafasi za kibiashara,nijuzeni gharama za malazi, chakula,malaya vp wanapatikana kwa urahisi ? na vingine vyote ambavyo kama mgeni napaswa kuvijua