Kwa waliofika Lubumbashi na Kinshasa

Kwa waliofika Lubumbashi na Kinshasa

falcon mombasa

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2015
Posts
9,213
Reaction score
9,334
Jamani kwa yeyote aliyefika kati ya sehemu hizo mbili Lubumbashi na Kinshasa tujuzane uzoefu nategemea kwenda huku august kuspend kwa wiki mbili,nia na madhumuni kujifunza na kuongeza upeo lakin kubwa zaidi kuangalia nafasi za kibiashara,nijuzeni gharama za malazi, chakula,malaya vp wanapatikana kwa urahisi ? na vingine vyote ambavyo kama mgeni napaswa kuvijua
 
falcon mombasa

kinshasa ni mji mkubwa sana na unafursa nyingi sanaza kibiashara,ila unatakiwa kuwa makini sana kwani matapeli ni wengi sana wa nyinsia zote.
 
Last edited by a moderator:
Mombasa hakulipi?? Kinshasa kila mtu kajichubua kule si mwanamke wala mwanaume, jaribu kuangalia soko sehemu zingine.
 
gharama za maladhi. Hata huku unaweza kupata sio mpaka kinshasha.....teh teh teh. Ni sheeeDah
 
kuhusu nafasi za biashara kama unaweza kusafirisha hata gunia la ndizi basi nenda nalo...mara ya mwisho kwenda pande hizo walikua wana import mpaka mikate...chakula kinalipa sana huko tatizo kukifikisha..
 
Mombasa hakulipi?? Kinshasa kila mtu kajichubua kule si mwanamke wala mwanaume, jaribu kuangalia soko sehemu zingine.

tatizo la wabongo hatuko serious ktk masuala ya msingi,Mombasa sihami bali nataka kujitanua kibiashara zaidi na zaidi.ni utaratibu niliojiwekea kila baada ya miezi mitatu nasafiri mji ambao sijawahi kufika ili nijifunze mambo mengi zaidi. kwa mfano after kongo napenda kwenda madagascar
 
kuhusu nafasi za biashara kama unaweza kusafirisha hata gunia la ndizi basi nenda nalo...mara ya mwisho kwenda pande hizo walikua wana import mpaka mikate...chakula kinalipa sana huko tatizo kukifikisha..

mkuu nitakucheki zaidi unipe mwongozo,vp gharama za hotel au lodge
 
Bamutu ba Mombasa karibu hapa Lubumbashi eeh!! Kwa moyo moja banacongo wote penda karibisha sawa wewe ....mutu yoyote penda kuja huku karibishwa sana

Ni mimi papaa Mwamba mutu ya nzambe

acha kuzingua basi
 
Ukuye huku Lubumbashi, sisi ma-papaa penda sana bageni toka pande yote. Sisi nakaribisha wewe, ukuye ukuye.
 
Mimi niliwahi kaa hotel fulani inaitwa Belle view kama sijakosea kwa muda wa kama mwaka na nusu hivi. Nilikuwa napata shida sana kwenye misosi. Msosi kule ni shida. Kuna fasf food fulani inaitwa KFC(sio Kentucky) ndipo nilipokuwa najaza tumbo. Jamaa wanapenda rushwa ajabu. Hata ukitaka exit visa bila sukree hugongewi. Na trafiki polisi wao wanakelele hao. Wanavaa helmet halafu wanaongoza magari kwa kupiga filimbi kama alivyokuwaga Majambo au wapiga sangura.
 
Back
Top Bottom