Kwa wale wenye watoto nje ya ndoa!

Kwa wale wenye watoto nje ya ndoa!

Fimbo ya Musa

Member
Joined
Jul 21, 2012
Posts
94
Reaction score
13
Mimi pia ninaye mmoja,na wife pia anajua. Muda wa mtoto kuanza shule umefika. NAOMBA USHAURI: Nimchukue nikae nae au niwe namtumia ada na matumizi mengine akiwa kwa mama yake?
 
badala kutoa ushaur huwez acha umburura wako umelazimishwa kutoa ushaur ndo unamshaur ujinga wako
 
ongea na mkeo yeye aamue si ukurupuke tu ilhali malezi yatakuwa juu ya mkeo
 
Kwani malezi ni shule tu?
Ukitambua hilo ndio utajua akae wapi.
 
Nakushauri umuoe huyo mama mtoto ili uwe na directo access to ur kiddo. Mkeo hawezi kukataa, i promise you.
 
Öngea na mkeo kaka muelewane na ww tumia uzoef wako unavyomjua kujua anamaanisha anachosema au la..ila ni vizuri ukaish na mwanao kama mtakubaliana
 
mapungufu nivigumu kuyajua coz mtoto bado mdogo hawezi kunieleza matatizo yake. Pia naonane mara chache kutokana na majukumu yangu

Analelewa na nani... mama au ndugu/jamaa mwingine?
 
Ndo maana tunaambiwa tusifanye mapenzi kabla ya ndoa.
Leo mtoto ndio anapata taabu kwa starehe ya wazazi wake.
Anyway, mtoto ana haki ya msingi ya kulelewa na wazazi wake wote wawili provided kifo hakijamchua yeyote.
So unatakiwa uishi pamoja na mtoto wako pamoja na mama wa mtoto wako.
 
Mimi pia ninaye mmoja,na wife pia anajua. Muda wa mtoto kuanza shule umefika. NAOMBA USHAURI: Nimchukue nikae nae au niwe namtumia ada na matumizi mengine akiwa kwa mama yake?
kwa kuwa mkeo anajua kuwa na busara ongea nae kwa upole wakati ana amani amepumzika mshirikishe halafu muombe ushaur kwamba unaonaje kwa hili,tutasave garama akiwa hapa na pia tutafuatilia maendeleoyake kwa urahs,utapata jibu zuri ukimheshmu mkeo na atamlea vzur utafurah.
 
nilimpata kabla ya kumwoa wife

kama ulimpata kabla ya ndoa.....

It means mkeo anajua....

Sasa...

Kama mama wa mtoto karidhia mwanae alelewe na mtu mwingine na kama mkeo karichia toka rohoni kumlea kama mwanae wa kumzaa mchukue kama kuna upande wowote ambao haujaridhia muache mtoto na mama yake upeleke matumizi
 
kwa kuwa mkeo anajua kuwa na busara ongea nae kwa upole wakati ana amani amepumzika mshirikishe halafu muombe ushaur kwamba unaonaje kwa hili,tutasave garama akiwa hapa na pia tutafuatilia maendeleoyake kwa urahs,utapata jibu zuri ukimheshmu mkeo na atamlea vzur utafurah.

asante kwa ushauri
 
Back
Top Bottom