mimi nlikua naitaji cd zake,nna xbox 360 na ps3
Mm Nina Xbox 360
Mm Nina Xbox 360
Boss huko mitandaoni nimepata ps4 mpaka za laki 4 zinauzwa hapo dar, pia kuna ps 4 pro inauzwa laki 5 hivi kati ya 4 na 4 pro ipi nzuri ? maana sijawahi kutumia psanhaa..mambo ya mtonyo yakikaa byee nitashift mkuu
Boss huko mitandaoni nimepata ps4 mpaka za laki 4 zinauzwa hapo dar, pia kuna ps 4 pro inauzwa laki 5 hivi kati ya 4 na 4 pro ipi nzuri ? maana sijawahi kutumia ps
msela yupo Dar unampigia unaenda kuchukua used ipo kwenye box ,pia kuna mwingine ana duka hapo hapo dar anauza mpya kabisa kwenye box ngoja nikupe screenshot
msela yupo Dar unampigia unaenda kuchukua used ipo kwenye box ,pia kuna mwingine ana duka hapo hapo dar anauza mpya kabisa kwenye box ngoja nikupe screenshotView attachment 1437757View attachment 1437758View attachment 1437759View attachment 1437760
kuna play station 4 mbili ,play station 4 na play station 4 pro mkuuIvi izi zipo tofauti maana naona kuna nyingine Nakuta zinauzwa mpaka 600k 700k ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ww utatapeliwa muda si mrefu ps4 mpya dukani unaipata kwa laki 8, ps4 pro mil 1-1.2msela yupo Dar unampigia unaenda kuchukua used ipo kwenye box ,pia kuna mwingine ana duka hapo hapo dar anauza mpya kabisa kwenye box ngoja nikupe screenshotView attachment 1437757View attachment 1437758View attachment 1437759View attachment 1437760
ahsante mkuu, nipo makini nitaifata ananikabidhi mkononi baada ya kui testWw utatapeliwa muda si mrefu ps4 mpya dukani unaipata kwa laki 8, ps4 pro mil 1-1.2
Mkononi si chini ga lak5. Kuwa makini huko kupatana wamejaa matapeli wanao kuwekea picha za mtandaoni. Mara nyingi hukimbilia kusema kuwa wako Zanzibar watakutumia mzigo kwenye boti. Kuwa makini hizo bei si halisi.
😀😀ulete mrejesho..ahsante mkuu, nipo makini nitaifata ananikabidhi mkononi baada ya kui test
nitaleta Mkuu,nimeipania sana GTA 5😀😀ulete mrejesho..

console gamers mna tabu aisee,hivi na hizi AMD ryzen cpu ambazo ni powerful than average intel i9 cpu halafu bado mnakomaa na hizo toy 



😀😀console gamers mna tabu aisee,hivi imetoka AMD ryzen cpu ambayo ni powerful than average intel i9 cpu halafu bado mnakomaa na hizo toy
☆Magnum Opus☆
Hiyo 1.2 M unaweza build powerful gaming pc au ukanunua powerful gaming laptop ambayo itakuondolea gharama za kununua ma cd ,au kununua magemu sony , just una download tu kwa bando la usikuahsante mkuu, nipo makini nitaifata ananikabidhi mkononi baada ya kui test



Namshauri atafute asus rog au hp pavillion au hp omen 17Ww utatapeliwa muda si mrefu ps4 mpya dukani unaipata kwa laki 8, ps4 pro mil 1-1.2
Mkononi si chini ga lak5. Kuwa makini huko kupatana wamejaa matapeli wanao kuwekea picha za mtandaoni. Mara nyingi hukimbilia kusema kuwa wako Zanzibar watakutumia mzigo kwenye boti. Kuwa makini hizo bei si halisi.
Mkuu ni Pc gani ambayo ina uwezo mkubwa wa kucheza games kubwa mfano Gta 5 nkHiyo 1.2 M unaweza build powerful gaming pc au ukanunua powerful gaming laptop ambayo itakuondolea gharama za kununua ma cd ,au kununua magemu sony , just una download tu kwa bando la usiku
☆Magnum Opus☆
hiyo Asus Rog inauzwa bei gani mkuu ?Namshauri atafute asus rog au hp pavillion au hp omen 17
☆Magnum Opus☆

Msitutambie kuwa na exclussive games za console ambazo pc hazipo kwa kuwa baada ya ryzen kuingia mzigoni now days tunazisukuma hizo games za ps4 kwa kutumia emulators .Hizi ni minimum recquirements (means uta run at mix ya minimum and high settings at 30 fps )Mkuu ni Pc gani ambayo ina uwezo mkubwa wa kucheza games kubwa mfano Gta 5 nk
Halafu kama unapenda heavy games hasa hizii AAA titles nakushauri utafute pc ambayo ni powerful kwa kuwa magemu mengi now days yana deppend kwenye cpu na graphics card ram ukiwa na 8 gb inatosha soo kulingana na ww mwenyewe unaweza tafuta high end pc ambayo itarun hizo games smoothMkuu ni Pc gani ambayo ina uwezo mkubwa wa kucheza games kubwa mfano Gta 5 nk