the great wizard
JF-Expert Member
- Dec 21, 2015
- 1,482
- 894
Msaada wadau kama kuna mtu ana reedem code ambazo hazijatumika tufanye biashara
Nipe apecs zakeNina Xbox anae taka nimuuzie
Zipo mkuu tembelea kupatana.com na facebook.com kwenye magrup. Kuwa tuu Muangalifu maana na watu wanaopenda kupata hela kwa njia za utapeli wapo.Nahitaji ps3, kwa bei nafuu nanunua.
Hata mimi natafuta. Sana sana za psn plusmsaada wadau kama kuna mtu ana reedem code ambazo hazijatumika tufanye biashara
Dah ngoja nifanye mchakato niipate
Mkuu nipe gamer tag yako nikuadd tuwe friends asee
Numerator12Mkuu nipe gamer tag yako nikuadd tuwe friends asee
Mkuu niuzie moja basiAhaaa..daah ofa nimeikosa mi natumia PS3 na PS2
Kuna thread humu jamaa alkua anauza deki tu bila pad wala nnnahitaji deki ya ps3 nitaipata wapi mkuu
Ni alike bac kwako nije nikufunge goli mkuuKama wewe una pS4 na huna CD ya fifa17 huu ndo muda wako sasa. Ingia Playstation Network na uweze kununua game hilo ambalo kwa sasa liko kenye bei ya promotion. Linauzwa Dola 30 sawa na shilingi kama 65000 za huku.
Nikukumbushe CD ya ps4 ya Fifa 17 inauzwa mpaka 130,000
![]()
Hio apo proof. Mimi namalizia taratibu za kupata mastercard nilinunue leo
![]()
Pia yapo magem mengine mengi yanauzwa kwa promotion kwa wiki mbili hizi. Wahini wadau.
Kwa wale mnaocheza online mnaweza kuniadd gamer tag yangu ni wizzyquan
Niliona umeniadd na nimeshakubali.Numerator12
Japo kwenye GOD of war mkuu umenitekenya Moyoni "kratos anf*ck alafu anaCum obsMi natumia ppsspp kwenye ka cm kangu ila ni radha ka ya playstation tu
![]()
![]()
![]()
![]()



Japo kwenye GOD of war mkuu umenitekenya Moyoni "kratos anf*ck alafu anaCum obs![]()
Hahaha asee io mission nimecheza sana kwenye ps2 kipindi icho ndo niko form 1 balehe hehe![]()
![]()
![]()
Hyo mission tam kweli bhanaa ila nshamaliza lote nata nije nichukue ghost of sparta
Zakitoto hizo gameMimi nainunua leo napata Spider man na needforspeed
alikuwa anauza ngapi mkuu?Kuna thread humu jamaa alkua anauza deki tu bila pad wala nn
Ya ndo anzotoa so skua na ujanjaZakitoto hizo game