Kwa wale wenye PS4 (Playstation 4)

Kwa wale wenye PS4 (Playstation 4)

Ubaya ni pale magemu ya console unaplay at 30fps na graphics zipo optimized at medium setting na wakati unaweza pata 60-144fps with graphics optimization ya ultra-4k , hapo bado sijaongelea kwamba red dead redemption hizo ps4 zenu zitapata tabu sana hata kusukuma at high settings sana sana mta play na mix ya medium to low settings , na games nyingi za titles ya AAA kwa console now days ni majanga .
N.b
Msitutambie kuwa na exclussive games za console ambazo pc hazipo kwa kuwa baada ya ryzen kuingia mzigoni now days tunazisukuma hizo games za ps4 kwa kutumia emulators .


☆Magnum Opus☆
mkuu upo nondo sana kwenye haya ma kitu
 
Bei inategemeana na specifications mkuu

☆Magnum Opus☆
powa, kuna wakati nilitaka kununua gaming PC sasa jamaa yangu akawa amenunua Asus core !6 nadhani ile,ilikua na Ram GB 8 afu akaniambia akicheza Games inachemka sana na kuwa nzito ikabidi niache kununua PC
 
powa, kuna wakati nilitaka kununua gaming PC sasa jamaa yangu akawa amenunua Asus core !6 nadhani ile,ilikua na Ram GB 8 afu akaniambia akicheza Games inachemka sana na kuwa nzito ikabidi niache kununua PC
Ukitaka kununua pc ya game usiangalie ram wala hdd hivi vitu si ishu coz ni rahisi kuviongeza.
Muhimu kutazama ni processor na gpu.
 
Halafu kama unapenda heavy games hasa hizii AAA titles nakushauri utafute pc ambayo ni powerful kwa kuwa magemu mengi now days yana deppend kwenye cpu na graphics card ram ukiwa na 8 gb inatosha soo kulingana na ww mwenyewe unaweza tafuta high end pc ambayo itarun hizo games smooth

☆Magnum Opus☆

Mkuu waweza mention name ya izo pc ili ata mimi ambaye sina ujuzi na pc iwe rahisi kuipata


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Da mkuu nieleweshe kidogo hapa umeniacha njia panda


Sent using Jamii Forums mobile app
Kikawaida consoles devices hasa hizi ps na xbox huwa zinatumia cpu's za amd (amd jaguar for ps3-ps4 na amd ryzen 3 for xbox nimepata tetesi kwenye xbox x wamehamia ryzen 5 soon 😂) ambazo sio powerful tuki compare na cpu mpya za amd ryzen(5 and 7),ambapo ni cpu powerful na pia hazi cost hela nyingi.
So kwa kutengeneza gaming pc utapata faida ya kubadili cpu na kuweka hiyo ryzen ambayo ina uwezo wa ku handle chochote utakachoitupia compared to hizo cpu's za consoles ambazo kadiri siku zinavyozidi kwenda inawabidi watoe toleo jingine la console ili waweze kuendana na soko la magemu mapya ambayo ni heavy .
 
Tunasubir mpaka yaanze kuuzwa laki 3 hatuna haraka cc. Sasa ivi acha tutumie ps3 na magem yetu ya kuban nyie ps4 tusubirin kidogo
Kama wewe una pS4 na huna CD ya fifa17 huu ndo muda wako sasa. Ingia Playstation Network na uweze kununua game hilo ambalo kwa sasa liko kenye bei ya promotion. Linauzwa Dola 30 sawa na shilingi kama 65000 za huku.
Nikukumbushe CD ya ps4 ya Fifa 17 inauzwa mpaka 130,000
857ddb99abcb6afc6db5dbf683cebd51.jpg

Hio apo proof. Mimi namalizia taratibu za kupata mastercard nilinunue leo

2dfe89533d41a58a06dc1e887b8176db.jpg

Pia yapo magem mengine mengi yanauzwa kwa promotion kwa wiki mbili hizi. Wahini wadau.

Kwa wale mnaocheza online mnaweza kuniadd gamer tag yangu ni wizzyquan

Sent using Jamii Forums mobile app
 
powa, kuna wakati nilitaka kununua gaming PC sasa jamaa yangu akawa amenunua Asus core !6 nadhani ile,ilikua na Ram GB 8 afu akaniambia akicheza Games inachemka sana na kuwa nzito ikabidi niache kununua PC
Sio pc zote huwa zipo hivyo inavyoonekana jama yako hakuwa vizuri kwenye ku cheki specs za hiyo pc yake ila kama mpunga upo good unaweza pata hp pavillion kwa bei nzuri tu au hata hp omen 15 kwa bei poa .
Kwa nini nimekutajia hayo matoleo mawili ?
Kwanza zina cpu za intel i7 8th generation ina hyperthreading na ni powerful kwa kiwango chake pia graphics card zake ni za Nvidia GTX 1050ti hizo graphics card ni powerful although sio lartest (lartest ni Nvidia RTX 2080 ti) na ram slot yake ni ya 2 channel DDR 4 support , inakuja na hdd 1TB although hard disc sio fast compare to other solid state drivers ila haita fanya game zako ziwe slow , kwa specs hizo unaweza ku run lartest games heavy zooote at tra settings na bado ukapata above 50fps na kingine ni kuwa joto kupanda mpaka 80°C ni normal kwa hizi lartest laptops kwa kuwa hata hivyo hizo chip zake zinaweza handle more than hiyo heat.
 
Uzi wa watoto wa kishua napita wakuu mko poa. Ivi umri wenu ni miaka 20-29 jamani mnifundishe na mimi mnako pata pesa Mana sijawahi pata mda wa kuenjoi ivi japo napenda Sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu waweza mention name ya izo pc ili ata mimi ambaye sina ujuzi na pc iwe rahisi kuipata


Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuwekea hapo mkuu na link zake na zote hizo ni budgeted si lazima uchukue za mpya za dukani unaweza agiza ebay au hata hapa hapa tanzania kuna ambazo ni used na ni below 1000$ ni very powerful gaming pc's .
 
Nimekuwekea hapo mkuu na link zake na zote hizo ni budgeted si lazima uchukue za mpya za dukani unaweza agiza ebay au hata hapa hapa tanzania kuna ambazo ni used na ni below 1000$ ni very powerful gaming pc's .
Halafu wakuu napenda kuongezea kitu kimoja ,kuna notebook moja ni (notebook ni laptop yyte yenye uwezo wa ku hold graphics card mbili) hii notebook ni ya kampuni kutoka china ni notebook moja nzuri sanaa aisee kitu kilichonivutia ni notebook ya kwanza ambayo ina uwezo wa kubadilishika cpu na inatumia mostly cpu za pc kawaida kwa graphics card haiwezi kutoka maana hata na hivyo ni powerful graphics card Nvidia RTX 2080 ti na pia kuna zenye Nvidia GTX 1080ti .
So kwa ufupi kwenye hii notebook unaweza badilisha RAM,HDD pamoja na CPU .
Inaitwa MAIBENBEB HEIMAI mnaweza icheki google zaidi.
 
Nimekuwekea hapo mkuu na link zake na zote hizo ni budgeted si lazima uchukue za mpya za dukani unaweza agiza ebay au hata hapa hapa tanzania kuna ambazo ni used na ni below 1000$ ni very powerful gaming pc's .

Sasa mkuu gharama si zile zile tu tena hizo gaming pc ni gharama kidogo japo kwa pc waweza download game bila kununua ila unapata kwa gharama kubwa kulinganisha na ps 4 ambazo unapata kwa dollar 368 mpaka dollar 398 akati izo gaming pc ni dollar 800 uko na zaidi


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa mkuu gharama si zile zile tu tena hizo gaming pc ni gharama kidogo japo kwa pc waweza download game bila kununua ila unapata kwa gharama kubwa kulinganisha na ps 4 ambazo unapata kwa dollar 368 mpaka dollar 398 akati izo gaming pc ni dollar 800 uko na zaidi


Sent using Jamii Forums mobile app
Mwisho wa siku ni wewe na uamuzi wako mkuu ila unaweza pata chini ya hiyo kumbuka hapo nimekutajia kulingana na kampuni binafsi , 😂 halafu cd moja ya ps4 ni shi ngapi?
 
Sasa mkuu gharama si zile zile tu tena hizo gaming pc ni gharama kidogo japo kwa pc waweza download game bila kununua ila unapata kwa gharama kubwa kulinganisha na ps 4 ambazo unapata kwa dollar 368 mpaka dollar 398 akati izo gaming pc ni dollar 800 uko na zaidi


Sent using Jamii Forums mobile app
Game moja la ps4 unalinunua mpaka laki 2.
Console zinapitwa na wakati, muda si mrefu ps5 inakuja ndio itakuwa habari ya mjini.
Pc inakuoffer vingi mbali na games tu.
 
Back
Top Bottom