Kwa wale wenye PS4 (Playstation 4)

mwanaMtata

JF-Expert Member
Oct 18, 2014
2,393
1,432
Kama wewe una pS4 na huna CD ya fifa17 huu ndio muda wako sasa. Ingia Playstation Network na uweze kununua game hilo ambalo kwa sasa liko kenye bei ya promotion. Linauzwa Dola 30 sawa na shilingi kama 65000 za huku.

Nikukumbushe CD ya ps4 ya Fifa 17 inauzwa mpaka 130,000

857ddb99abcb6afc6db5dbf683cebd51.jpg


Hiyo hapo proof. Mimi namalizia taratibu za kupata mastercard nilinunue leo.

2dfe89533d41a58a06dc1e887b8176db.jpg

Pia yapo magemu mengine mengi yanauzwa kwa promotion kwa wiki mbili hizi. Wahini wadau.

Kwa wale mnaocheza online mnaweza kuniadd gamer tag yangu ni wizzyquan
 
Swali langu internet router au modem gani unatumia na gharama zikoje kwa siku


Kama wewe una pS4 na huna CD ya fifa17 huu ndo muda wako sasa. Ingia Playstation Network na uweze kununua game hilo ambalo kwa sasa liko kenye bei ya promotion. Linauzwa Dola 30 sawa na shilingi kama 65000 za huku.
Nikukumbushe CD ya ps4 ya Fifa 17 inauzwa mpaka 130,000
857ddb99abcb6afc6db5dbf683cebd51.jpg

Hio apo proof. Mimi namalizia taratibu za kupata mastercard nilinunue leo

2dfe89533d41a58a06dc1e887b8176db.jpg

Pia yapo magem mengine mengi yanauzwa kwa promotion kwa wiki mbili hizi. Wahini wadau.

Kwa wale mnaocheza online mnaweza kuniadd gamer tag yangu ni wizzyquan
 
swali langu internet router au modem gani unatumia na gharama zikoje kwa siku
Mimi natumia tu Airtel kwa kucheza online mods. Huwa hazili bando kama wengi wanavozania. sana sana usiku maana mchana haya majitu siyaelewi kabsaa.
Kwa kudownload na kununua natumia Halotel. Naunga 10GB za usiku naacha sim kwenye chaji. Nawasha hotspot.
Natega alarm nikiamka saa tisa nakuta inamalizia au imemaliza nazima console
Kwa
 
Back
Top Bottom