You are very right kwenye uwezo wa pc vs ps4 no doubt abt that ila kuhusu gharama za game kwa maana ya cd sio ishu ps plus huwa wanatoa magame mazuri tu kila mwezi angalau mawili so unaweza usiwe unanunua cd za kawaida unapata game za ps plus,pia kuna free games zaid pia kuna game za offer mara kwa mara na yote 9,kumi kibongobongo anaweza mtu mmoja akanunua game mkalidownload na kutumia zaidi ya watu wawili through kuifanya ps4 moja kuwa primary na nyngne secondary account,chaguo ni la mpenz mwenye ila ninachoweza shaur mtu asije akafanya kosa la kujail break ps yake atajilimit mambo meng sana mazur ya online