BwanaSamaki012
Member
- Jan 13, 2023
- 92
- 99
Habari za wakati huu?
Hii ni kwa wale wote wenye mapenzi au wanaovutiwa na shughuli za kilimo na ufugaji hususani ufugaji wa samaki
Tuna toa huduma ya kuuza Vifaranga/mbegu bora ya samaki aina ya Sato (Nile Tilapia)
Mbegu zetu ni nzuri Sana kwanza kabisa wana-uniform size, samaki wanakuwa haraka ndani ya muda mfupi, wanastahimili magonjwa na mabadiliko ya ubora wa maji
Bei ni Tsh 200 - 300 kwa kifaranga kimoja, chenye uzito kati ya 1g - 10g
Tunapatikana Mingoi, mbele kidogo ya Bunju B njia ya kuelekea Bagamoyo, pia tuna tuma mzigo kwa wahitaji waliyopo nje ya Dar/Pwani
Karibu
No. 0758779170
Hii ni kwa wale wote wenye mapenzi au wanaovutiwa na shughuli za kilimo na ufugaji hususani ufugaji wa samaki
Tuna toa huduma ya kuuza Vifaranga/mbegu bora ya samaki aina ya Sato (Nile Tilapia)
Mbegu zetu ni nzuri Sana kwanza kabisa wana-uniform size, samaki wanakuwa haraka ndani ya muda mfupi, wanastahimili magonjwa na mabadiliko ya ubora wa maji
Bei ni Tsh 200 - 300 kwa kifaranga kimoja, chenye uzito kati ya 1g - 10g
Tunapatikana Mingoi, mbele kidogo ya Bunju B njia ya kuelekea Bagamoyo, pia tuna tuma mzigo kwa wahitaji waliyopo nje ya Dar/Pwani
Karibu
No. 0758779170