Tunazalisha mbegu Bora ya Samaki (Sato)

Jan 13, 2023
92
99
Tunazalisha na kuuza mbegu Bora za samaki aina ya Sato na Kambale.

Vifaranga vinazalishwa kitaalamu na vina sifa zifuatazo;
✓ Wanazoea mazingira utakayo wafugia kwa haraka
✓ Wanakua haraka na kufikisha uzito mkubwa mdani ya muda mfupi
✓ Wanazaliana vizuri, under culture conditions
✓ Wanakula chakula cha kutengenza,
✓ Wanapendwa na wateja (satisfactory to the consumer)
✓ Wanakaa wengi kwenye eneo dogo,
Wanastahimili magonjwa

Bei zetu ni nafuu kabisa
•Samaki wasio zaliana (monosex) ni Tsh 200 kwa kifaranga 1
•Samaki wanaozaliana (mixe-sex) ni Tsh 150 kwa kifaranga kimoja

Kama unapenda kufuga samaki iwe ni kibiashara au kwa matumizi binafsi karibu tukuhudumie

Mawasiliano
0758779170

 
Tunazalisha na kuuza mbegu Bora za samaki aina ya Sato na Kambale

Vifaranga vinazalishwa kitaalamu na vina sifa zifuatazo;
✓ Wanazoea mazingira utakayo wafugia kwa haraka
✓ Wanakua haraka na kufikisha uzito mkubwa mdani ya muda mfupi
✓ Wanazaliana vizuri, under culture conditions
✓ Wanakula chakula cha kutengenza,
✓ Wanapendwa na wateja (satisfactory to the consumer)
✓ Wanakaa wengi kwenye eneo dogo,
Wanastahimili magonjwa

Bei zetu ni nafuu kabisa
•Samaki wasio zaliana (monosex) ni Tsh 200 kwa kifaranga 1
•Samaki wanaozaliana (mixe-sex) ni Tsh 150 kwa kifaranga kimoja

Kama unapenda kufuga samaki iwe ni kibiashara au kwa matumizi binafsi karibu tukuhudumie

Mawasiliano
0758779170
Mko wapi?
 
tuambie zaidi iyo kitaalam
Ahsante! Kwanza kabisa vifaraga tunaozalisha wanatokana na species Bora aina ya Nile Tilapia (Oreochromis Niloticus) Hii ni jamii ya Sato wanao kuwa haraka

Vifaranga wetu hatuwakusanyi kiholela kutoka mabwawani/mitoni au ziwani, tuna wazalisha kwenye sehemu maalumu ya kutotolesha na kukuzia Vifaranga vya samaki ijulikanayo kama hatchery,

Vifaranga wetu wanakuwa na uniform size

Kwa wale wanaopenda jinsia moja tu ya samaki (madume tu) kupata 98% madume tu ni uhakika

Pia kabla ya kuwasafirisha kwenda kwa wahitaji tunawaandaa vizuri tuna wapack na kuweka pure oxygen gas ili kupunguza vifo njiani.

 
Tunazalisha na kuuza mbegu Bora za samaki aina ya Sato na Kambale.

Vifaranga vinazalishwa kitaalamu na vina sifa zifuatazo;
✓ Wanazoea mazingira utakayo wafugia kwa haraka
✓ Wanakua haraka na kufikisha uzito mkubwa mdani ya muda mfupi
✓ Wanazaliana vizuri, under culture conditions
✓ Wanakula chakula cha kutengenza,
✓ Wanapendwa na wateja (satisfactory to the consumer)
✓ Wanakaa wengi kwenye eneo dogo,
Wanastahimili magonjwa

Bei zetu ni nafuu kabisa
•Samaki wasio zaliana (monosex) ni Tsh 200 kwa kifaranga 1
•Samaki wanaozaliana (mixe-sex) ni Tsh 150 kwa kifaranga kimoja

Kama unapenda kufuga samaki iwe ni kibiashara au kwa matumizi binafsi karibu tukuhudumie

Mawasiliano
0758779170

View attachment 2668908
Sato wa Mwanza au kutoka kwa Mabeberu?
 

Attachments

  • IMG-20230626-WA0000.jpg
    IMG-20230626-WA0000.jpg
    166 KB · Views: 7
Back
Top Bottom