Kwa wale wanaotokea Tabora: Kwanini Tabora kuna vichaa na wehu wengi mjini na vijijini?

Kwa wale ndugu zangu wanyamwezi na wasukuma toka Tabora na watu mliowahi kufika Tabora mtakubaliana na mimi ya kwamba tatizo la wehu,wendawazimu na vichaa kuwa wengi lipo muda mrefu na kila siku linazidi kuongezeka mpka imefika hatua imekuwa kero sasa.

Eneo kama stendi mkuu hapo Tabora mjini kuna wehu na vichaa wanashinda pale wanapigana mitii hadharani wako uchi wa mnyama,ukipita njianindo usiseme katika watu sita utakaopishana nao basi watatu ni wehu ukipita soko kuu ndo usiseme wehu na vichaa wamejaa alafu hawana ustarabu siku akili zao zikifyatuka wanafanya fujo wanarusha mawe ovyoo waharibu biashara za watu yaani hawa viumbe wenzetu wamekuwa ni tatizo sana si mjini si vijijini wapo wengi kama juzi nilikuwa urambo soko kuu kuna mwehu nilimuona anajisaidia hadharani .

Lakini yote tisa hebu tuelezane ni kwanini katika huu mkoa wetu kwanini wehu, wendawazimu na vichaa ni wengi inawezekana labda mi nimekulia Dar labda sifahamu lakini nimetembea mikoa mingi ila Tabora too much.
Jichanganye kuwa wote Vichaa shauri lako
 
Uislam mwingi sana na ushirikina uliokubuhu ndilo tatizo la Tabora, fika mkoa wowote hapa Tanzania unaondekeza dini ya kiislam LAZIMA utakuta unafiki na ushirikina unatawala huko. Kwa Tabora, ukimsema mtu kidogo tu, unatupiwa ukichaa, ukimshangaa mtu unatupiwa ukichaa kwa kusomewa Qur'an pia. Matokeo yake, jiji zima la Tabora, mjini karibu ya wakazi wote ni vichaa, wenye akili timamu ni waarab koko tu na baadhi ya wageni. Wenyeji wanasema vichaa wengi waliopo kwenye maduka ya wahindi Arusha na Zenji wamenunuliwa toka Tabora kwenda kuongeza rasilimali madukani mwa mabosi wao. Kiufupi, Tabora ni nyumbani kwa vichaa na misukulehapa East Afrika.

Kweli Mkuu sehemu yenye mambo ya hiii Dini ya wenzetu mambo ya watu kuwa vichaa kwa wingi ni jambo la kawaida sana,Ukienda ata mikoa ya kusini Lindi,Newala,Mtwara na kwingineko huko ukichaa ni mwingi sana,wanaendekeza sana maswala ya kutupiana uchawi na kisomo kuliko maendeleo yao.
 
Kweli Mkuu sehemu yenye mambo ya hiii Dini ya wenzetu mambo ya watu kuwa vichaa kwa wingi ni jambo la kawaida sana,Ukienda ata mikoa ya kusini Lindi,Newala,Mtwara na kwingineko huko ukichaa ni mwingi sana,wanaendekeza sana maswala ya kutupiana uchawi na kisomo kuliko maendeleo yao.
Hivyo unataka kusema dini ndo inafundisha hivyo?. Uje na vidhibitisho kama mtu mwenye akili timamu
 
Hivyo unataka kusema dini ndo inafundisha hivyo?. Uje na vidhibitisho kama mtu mwenye akili timamu
Naona umeamua tu kupinga hoja yangu kwa kejeli na matusi,ila nnachokwambia Mkuu hizo kanda nyingi ni dini kwa upande wa pili na nasema hivyo kwa uthibisho nilioshuhudia hiyo mikoa.
 
Kichaa ni maradhi kama maradhi mengine yoyote,hayahusiani na dini,kabila,rangi,utaifa au eneo fulani.Ndio ukaona kuna madaktari,wa matatizo ya akili,na vitengo vya maradhi ya akili,mikoa tofauti,bila kuzingatia uwepo wa dini fulani,au kabila fulani.Ni mtu,asiye na maarifa,ndio anaweza kuhusisha ugonjwa wa akili,na udini,ukabila,rangi au eneo.Huwenda wewe,mwenyewe pia ukawa una matatizo ya maradhi ya akili,lakini usijielewe,kama alivyo huyo,unayemuona wewe ana matatizo ya akili,mpaka ukutane daktari wa maradhi ya akili,upate vipimo husika,ndio utaweza kujijua kama uko na maradhi hayo au huna.
Uislam mwingi sana na ushirikina uliokubuhu ndilo tatizo la Tabora, fika mkoa wowote hapa Tanzania unaondekeza dini ya kiislam LAZIMA utakuta unafiki na ushirikina unatawala huko. Kwa Tabora, ukimsema mtu kidogo tu, unatupiwa ukichaa, ukimshangaa mtu unatupiwa ukichaa kwa kusomewa Qur'an pia. Matokeo yake, jiji zima la Tabora, mjini karibu ya wakazi wote ni vichaa, wenye akili timamu ni waarab koko tu na baadhi ya wageni. Wenyeji wanasema vichaa wengi waliopo kwenye maduka ya wahindi Arusha na Zenji wamenunuliwa toka Tabora kwenda kuongeza rasilimali madukani mwa mabosi wao. Kiufupi, Tabora ni nyumbani kwa vichaa na misukulehapa East Afrika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kichaa hakihusiani na dini,kabila,rangi wala utaifa wa mtu,ni maradhi kama maradhi mengine.Ndio ukaona kuna madaktari na vitengo vya maradhi ya akili,katika hospital mbalimbali,mikoani,bila kuzingatia dini,kabila,rangi au eneo.
Huwenda huko unakosema kuna vichaa wengi,ikawa wenyeji wa huko,wanamtizamo hasi kama wewe,wa kuamini,uchawi,na kutojuwa kama hayo ni maradhi yanatibika hospital.Na huko kutokuwa na mtizamo sahihi ya maradhi haya,ndio hawawapeleki kwenye tiba sahihi,za hospital,wanawaachia wazurure ovyo.
Kweli Mkuu sehemu yenye mambo ya hiii Dini ya wenzetu mambo ya watu kuwa vichaa kwa wingi ni jambo la kawaida sana,Ukienda ata mikoa ya kusini Lindi,Newala,Mtwara na kwingineko huko ukichaa ni mwingi sana,wanaendekeza sana maswala ya kutupiana uchawi na kisomo kuliko maendeleo yao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiongozi mimi napinga hoja yako ya tumbaku kuwa chanzo cha vichaa tabora mimi nina ndugu zangu wakulima wa tumbaku muda mrefu sijaona chizi wala kichaaa lakini sikukataliii inawezekana ikawa kweliiii.

Lakini pia ushirikina pia upoo kiongozi

Unampinga ila haumkatalii.????
 
Naona umeamua tu kupinga hoja yangu kwa kejeli na matusi,ila nnachokwambia Mkuu hizo kanda nyingi ni dini kwa upande wa pili na nasema hivyo kwa uthibisho nilioshuhudia hiyo mikoa.
NIMETUKANA WAPI NIMELETA KEJELI IPI?
WEWE UMESHINDWA KULETA UDHIBITIASHO KAMA MTU MWENYE AKILI TIMAMU
KWAMBA UISLAM NDIO UNAOCHANGIA KUWA NA VICHAA WENGI.
WATU WENYE AKILI TIMAMU HUWA HATWENDI KWA POROJO ZA VILINGENI
 
Naona umeamua tu kupinga hoja yangu kwa kejeli na matusi,ila nnachokwambia Mkuu hizo kanda nyingi ni dini kwa upande wa pili na nasema hivyo kwa uthibisho nilioshuhudia hiyo mikoa.
NJOMBE INAONGOZA KWA MAAMBUKIZI YA UKIMWI
HIVYO HIYO INASABABISHWA NA UKRISTO?
MAANA HIZO NYANDA WAKRISTO NI WENGI SANA
 
Kwa uzoefu wangu mikoa ya Tanga, Lindi, Mtwara, Morogoro hasa Kilosa, Tabora, Kigoma na Shinyanga hasa Tinde hili tatizo lipo sana.

Pia nchi kadhaa za kiarabu nilizobahatika kutembelea kama UAE, Oman na Misri kuna hii shida pia.

Uchunguzi wangu wa kijamii ulinionesha kuwa, kwa wenzetu wenye asili ya Arab na wenye kufuata imani ya Kiislam kwao kuoana Mabinamu ni jambo la kawaida.

Kisayansi ndugu mnaochangia damu mkipeana ujauzito, ni rahisi sana mtoto huyo kuwa na matatizo ya aidha kigenetic au kisaikolojia.

Na kwa sababu hii ndiyo maana tatizo la watoto vichaa au wenye maajabu huzaliwa sana miongoni mwa Jamii ya watu niliowataja kutokana na Tabia yao kuoana ndugu kwa ndugu.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio kweli,kama ni hivyo, Amerika,Ungereza,ufaransa,Ujerumani,Urusi,Canada,kusingekuwa na vichaa.Na ndio nchi,zinazoongoza kwa vichaa duniani,wanauwana kwa kupigana risasi.Wako walioingia kanisani,na kuwaua wakristo wenzao,kwasababu tu,ni wakristo weusi na muuaji ni mweupe.Kama sio ukichaa ni nini.
Kwa uzoefu wangu mikoa ya Tanga, Lindi, Mtwara, Morogoro hasa Kilosa, Tabora, Kigoma na Shinyanga hasa Tinde hili tatizo lipo sana.

Pia nchi kadhaa za kiarabu nilizobahatika kutembelea kama UAE, Oman na Misri kuna hii shida pia.

Uchunguzi wangu wa kijamii ulinionesha kuwa, kwa wenzetu wenye asili ya Arab na wenye kufuata imani ya Kiislam kwao kuoana Mabinamu ni jambo la kawaida.

Kisayansi ndugu mnaochangia damu mkipeana ujauzito, ni rahisi sana mtoto huyo kuwa na matatizo ya aidha kigenetic au kisaikolojia.

Na kwa sababu hii ndiyo maana tatizo la watoto vichaa au wenye maajabu huzaliwa sana miongoni mwa Jamii ya watu niliowataja kutokana na Tabia yao kuoana ndugu kwa ndugu.



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wajinga ni wengi humu. Eti uchawi!!

Hakuna uchawi wowote wala ndumba sijui kitu gani!

Ukichaa ni ugonjwa wa akili kama yalivyo magonjwa mengine!

Hawa wafuasi wa mshana jr ni mazumbukuku misukule tupu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nearly 40 percent of Europeans suffer mental illness.Europeans are plagued by mental and neurological illness,with almost 165 million people or 38 percent of population suffering each year from brain disorder such as depression,anxiety,insomnia or dementia,according to a large new study....
London (Reuters)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom