Hi!
Jamani naomba kwa wale wote waliosoma Ifakara sekondari
(machipi) naomba tujikumbushe baadhi mambo ya shule yetu,
1. Mihogo ya ambanjaula
2 nesi wetu wa shule mdundiko na mwingine nesi msukosuko
3 kwenda kuiba. Ndizi na mihogo kwenye mashamba ya shule na kwenda kufichama mto lumemo
4 kupalilia miraba mirefu ya mahindi Kama vile tuko jkt
5 kuvujiwa maji kwa mabweni ya Lumumba na Nkuruma maana pamoja zege lililowekwa kuvuja Kama nyumba ya nyasi vile
5.
6.
7.
Haya comrades was Cuban sec tujikumbushe name engine meeeengi yaliyojiri tukiwa skuli,,,,,,,,,,,
Jamani naomba kwa wale wote waliosoma Ifakara sekondari
(machipi) naomba tujikumbushe baadhi mambo ya shule yetu,
1. Mihogo ya ambanjaula
2 nesi wetu wa shule mdundiko na mwingine nesi msukosuko
3 kwenda kuiba. Ndizi na mihogo kwenye mashamba ya shule na kwenda kufichama mto lumemo
4 kupalilia miraba mirefu ya mahindi Kama vile tuko jkt
5 kuvujiwa maji kwa mabweni ya Lumumba na Nkuruma maana pamoja zege lililowekwa kuvuja Kama nyumba ya nyasi vile
5.
6.
7.
Haya comrades was Cuban sec tujikumbushe name engine meeeengi yaliyojiri tukiwa skuli,,,,,,,,,,,