Sababu zipo mkuu ndio mana watu wanachepuka, kutoridhika, ukorofi wa mmoja wao, wivu uliopindukia, tamaa, pesa, ugomvi, ulevi, uaminifu nk.
Hizo zote ni sababu zinazoweza kufanya wapenz wakasalitiana.
Ukweli ni kwamba mwanamke anaweza kuendeleza uhusiano wa kimapenzi na namwanaume ambaye ana dushe ndogo (kibamia) na asiyemridhisha kabisa kwa kitu chochote, provided that mwanaume huyu ataweza kutatua matatizo yake makubwa yanayomkabili kw akipindi kile, mfano matatizo ya kiuchumi, labda mwanamume ni mtulivu sana au mpole kwelikweli kiasi kwamba hambugudhi bidada kwa lolote n.k. Hilo linawezekana kabisa kwa wanawake, na limekua likitokea sana. kwahiyo "haweza ku-do" hilo halitoshi kumfanya mwanamke ashindwe kuendeleza uhusiano na mwanaume anayemwona analipa vya kutosha kwenye vipengele vingine vya maslahi binafsi.Ukweli uchepukaji si mzuri hata kidogo pamoja na baadhi hupenda kuuhalalisha, uchepukaji husababishwa na emotional infidelity na attraction infidelity ambavyo husababisha watu kucheat, tofauti na wanawake wanaume hukubali kuwa ni tamaa ilisababisha lakini wanawake hupenda kujustify infidelity kwa kusema ooo jamaa hanirizishi dakika moja anakojoa dushe yake ndogo, hainifikishi, hajui ku-do. Mwanaume mmoja Marekani aliwahi kusema nikiwa na mahusiano mazuri na mpenzi wangu sifa zote hupewa najua ku-do, mashine yangu nzuri lakini tukiachana naambiwa sijui ku-do na nakojoa baada ya nusu dakika kiasi kwamba sijielewi. Swali linakuja iwapo hamriishi, dushe ndogo, anakojoa baada ya nusu dakika how they managed to keep relationship at first place? Jibu ni uzushi kuhalalisha kucheat
Emotional infidelity na attraction infidelity zipo hutokea makazini, vyuoni, makutanoni, sehemu za starehe dawa ni kuziepuka pia mazingira ya kuruhusu ushawishi na hii ya emotional infidelity wanaume wanaijua sana kuitumia unahakikisha mwanamke anakuzoea unamfanyia mambo ambayo mmewe unajua hafanyi kwasababu na yeye hafanyi kwa mkewe mfano kumsifia kila mara, kumpa attention, maongezi, kujadili chochote bila kuhodhi majadiliano, kutomcriticize kwa lolote hata kama ni baya, kumwambia maneno mazuri mfano anapendeza, ananukia, mcheshi, ana hekima, ana akili maneno ambayo ni kinyume kule kwake iwapo anagombana na mmewe au mpenzi wake na wanawake nao hukubaliana na kuonawaambiwacho ni kweli wakati inaweza kuwa ghriba ya kupatwa. Utakuta mwanamke naye anasifia ooo Karizamani wee mwanaume poa na mme wangu angekuwa kama wewe ningeishi kwa furaha wakati huyo huyo Karizamani anayesifiwa ananyanyasa mkewe nyumbani. Tuwe waangalifu na mitego maana wanadamu tumepewa uwezo wa kuepuka chochote sababu Mungu alitupa self consciousness, self discipline, self respect, self awareness and self determination
Ukweli ni kwamba mwanamke anaweza kuendeleza uhusiano wa kimapenzi na namwanaume ambaye ana dushe ndogo (kibamia) na asiyemridhisha kabisa kwa kitu chochote, provided that mwanaume huyu ataweza kutatua matatizo yake makubwa yanayomkabili kw akipindi kile, mfano matatizo ya kiuchumi, labda mwanamume ni mtulivu sana au mpole kwelikweli kiasi kwamba hambugudhi bidada kwa lolote n.k. Hilo linawezekana kabisa kwa wanawake, na limekua likitokea sana. kwahiyo "haweza ku-do" hilo halitoshi kumfanya mwanamke ashindwe kuendeleza uhusiano na mwanaume anayemwona analipa vya kutosha kwenye vipengele vingine vya maslahi binafsi.
Well said mkuu bt ume base sana kwa wanawake ningetamani kuonja upande wa wanaume pia.
Filomena, ukweli wanaume mara nyingi hawakandii sexual organs akicheat ikitokea ana mke au mpenzi na yule mwanamke wa nje akamuuliza kwanini yuko na yeye na ana mke au mpenzi wake? Mara nyingi wanaume hukwepa kujibu akilazimishwa sana hutaja mambo ya kijamii kudemonize partiner wake mfano aaa yule mwanamke hatuendani hapendi kutoka mie napenda kutoka, mshamba, hatuendani, mkorofi akiona naongea na wanawake lol ataleta fujo, ana wivu sana kupita kiasi, hajui kuvaa kila nikimfundisha hataki naona kama ananiabisha nawish nisingeoa mapema maana naona wewe Bintimzuri tunaendana sana lakini hatasema ana **** kubwa, hajui ku-do, ananuka uchi, hakojoi haraka maana wanaume hawapendi kuattack wenza wao sexually shambulio kubwa mwanaume anaweza kulifanya kwa mkewe au mpenzi wake kumwambia hawala yake ni kusema partiner wake ni mchafu hiyo kauli inabeba kila kitu. Lakini mwanamke akiwa kaolewa au anajamaa na anacheat na jamaa mwingine ikatokea jamaa akamuuliza wanawake hupenda kuattack sexually kwa kusema jamaa hanirizishi, anapiga push up mbili ya tatu wazungu hao, ana dushelele kusimama mpaka isukumwe, ana dushe ndogo nikikohoa inatoka hii ya dushe ndogo na kukojoa haraka hutumika sana pia iwapo kumetokea break up mwanamke anaanza kupakaza kudemonize mwanaume kuwa hana thamani yeyote. Wanawake kundi la pili hawa huwa ni wastaraabu watasema jamaa hanijali, mgomvi, hanipendi siku hizi kama zamani, anacheat na wanawake wengine hawa ni wale wastraaabu
Hapanihusu hapa
Umefuata nini?
Filomena, ukweli wanaume mara nyingi hawakandii sexual organs akicheat ikitokea ana mke au mpenzi na yule mwanamke wa nje akamuuliza kwanini yuko na yeye na ana mke au mpenzi wake? Mara nyingi wanaume hukwepa kujibu akilazimishwa sana hutaja mambo ya kijamii kudemonize partiner wake mfano aaa yule mwanamke hatuendani hapendi kutoka mie napenda kutoka, mshamba, hatuendani, mkorofi akiona naongea na wanawake lol ataleta fujo, ana wivu sana kupita kiasi, hajui kuvaa kila nikimfundisha hataki naona kama ananiabisha nawish nisingeoa mapema maana naona wewe Bintimzuri tunaendana sana lakini hatasema ana **** kubwa, hajui ku-do, ananuka uchi, hakojoi haraka maana wanaume hawapendi kuattack wenza wao sexually shambulio kubwa mwanaume anaweza kulifanya kwa mkewe au mpenzi wake kumwambia hawala yake ni kusema partiner wake ni mchafu hiyo kauli inabeba kila kitu. Lakini mwanamke akiwa kaolewa au anajamaa na anacheat na jamaa mwingine ikatokea jamaa akamuuliza wanawake hupenda kuattack sexually kwa kusema jamaa hanirizishi, anapiga push up mbili ya tatu wazungu hao, ana dushelele kusimama mpaka isukumwe, ana dushe ndogo nikikohoa inatoka hii ya dushe ndogo na kukojoa haraka hutumika sana pia iwapo kumetokea break up mwanamke anaanza kupakaza kudemonize mwanaume kuwa hana thamani yeyote. Wanawake kundi la pili hawa huwa ni wastaraabu watasema jamaa hanijali, mgomvi, hanipendi siku hizi kama zamani, anacheat na wanawake wengine hawa ni wale wastraaabu
Hapanihusu hapa
İnawezekana unaweza ukawa unasema kweli. Lakini mimi kwa uzoefu wangu wa zaidi ya miaka kumi ya uchepukaji uliotukuka, sijawahi kumsema mke wangu vibaya. kosa kubwa atakalofanya mchepukaji mwenzangu ni kuuliza habari za mke wangu. Mara nyingi anayemuulizia ndo unakuwa mwanzo wa talaka.
Tumekuja kuchepuka kivyetu, mke wangu ataingiaje hapo?
nawatakieni michepuko myema isiyo na mafumanizi. Chepukeni responsibly, ukimwi upo, hauna tiba na unaua.
Wasalaam,
ODM.
Mwenyekiti wa wachepukaji,
Bazazi Street,
Dsm.
NB... İbilisi asaidie hii post isisomwe na Khantwe
çc Kaizer, Mentor, Vin Diesel, KakaKiiza, Nicas Mtei kwa taarifa na kumbukumbu za chama.
Hii inawahusu wale wote wanaochepuka na waliowahi kuchepuka kwa mke wako, mume wako, mchumba, demu au men wako wa kitaa.
Ni sababu ipi ya msingi au isiyo ya msingi iliyokufanya ukamsaliti mwenza wako?
Ukweli wenu utasaidia sana kuepusha michepuko kwa sababu ambazo mtazitaja hapa jamvini wenza kuziepuka ili wasisalitiane kwa kua washajua makosa yapo wapi.
Karibuni wana jamvi.
İnawezekana unaweza ukawa unasema kweli. Lakini mimi kwa uzoefu wangu wa zaidi ya miaka kumi ya uchepukaji uliotukuka, sijawahi kumsema mke wangu vibaya. kosa kubwa atakalofanya mchepukaji mwenzangu ni kuuliza habari za mke wangu. Mara nyingi anayemuulizia ndo unakuwa mwanzo wa talaka.
Tumekuja kuchepuka kivyetu, mke wangu ataingiaje hapo?
nawatakieni michepuko myema isiyo na mafumanizi. Chepukeni responsibly, ukimwi upo, hauna tiba na unaua.
Wasalaam,
ODM.
Mwenyekiti wa wachepukaji,
Bazazi Street,
Dsm.
NB... İbilisi asaidie hii post isisomwe na Khantwe
çc Kaizer, Mentor, Vin Diesel, KakaKiiza, Nicas Mtei kwa taarifa na kumbukumbu za chama.
Kuna vitu vingi vya kuzingatia kwanza demu ulimpata katika mazingira yapi moja hivyo ukiona demu mwingine akakushawishi ni lazima uchepuke pili inategeme huo mchepuko mko katika mazingira yapi pengine mpo mfindi na kuna uwezekano wa kuchepuka inabidi sasa mfanye hivyo ila sasa huo mchepuko unaweza ukawa umejizatiti kuteka kambi ukajikuta unahamia!Hii inawahusu wale wote wanaochepuka na waliowahi kuchepuka kwa mke wako, mume wako, mchumba, demu au men wako wa kitaa.
Ni sababu ipi ya msingi au isiyo ya msingi iliyokufanya ukamsaliti mwenza wako?
Ukweli wenu utasaidia sana kuepusha michepuko kwa sababu ambazo mtazitaja hapa jamvini wenza kuziepuka ili wasisalitiane kwa kua washajua makosa yapo wapi.
Karibuni wana jamvi.
Ushindwe vyama vyote nimejivua gamba!Bwana awe nasi sema Amen.Bazazi mkuu!İnawezekana unaweza ukawa unasema kweli. Lakini mimi kwa uzoefu wangu wa zaidi ya miaka kumi ya uchepukaji uliotukuka, sijawahi kumsema mke wangu vibaya. kosa kubwa atakalofanya mchepukaji mwenzangu ni kuuliza habari za mke wangu. Mara nyingi anayemuulizia ndo unakuwa mwanzo wa talaka.
Tumekuja kuchepuka kivyetu, mke wangu ataingiaje hapo?
nawatakieni michepuko myema isiyo na mafumanizi. Chepukeni responsibly, ukimwi upo, hauna tiba na unaua.
Wasalaam,
ODM.
Mwenyekiti wa wachepukaji,
Bazazi Street,
Dsm.
NB... İbilisi asaidie hii post isisomwe na Khantwe
çc Kaizer, Mentor, Vin Diesel, KakaKiiza, Nicas Mtei kwa taarifa na kumbukumbu za chama.
İnawezekana unaweza ukawa unasema kweli. Lakini mimi kwa uzoefu wangu wa zaidi ya miaka kumi ya uchepukaji uliotukuka, sijawahi kumsema mke wangu vibaya. kosa kubwa atakalofanya mchepukaji mwenzangu ni kuuliza habari za mke wangu. Mara nyingi anayemuulizia ndo unakuwa mwanzo wa talaka.
Tumekuja kuchepuka kivyetu, mke wangu ataingiaje hapo?
nawatakieni michepuko myema isiyo na mafumanizi. Chepukeni responsibly, ukimwi upo, hauna tiba na unaua.
Wasalaam,
ODM.
Mwenyekiti wa wachepukaji,
Bazazi Street,
Dsm.
NB... İbilisi asaidie hii post isisomwe na Khantwe
çc Kaizer, Mentor, Vin Diesel, KakaKiiza, Nicas Mtei kwa taarifa na kumbukumbu za chama.
some text is missingHii inawahusu wale wote wanaochepuka na waliowahi kuchepuka kwa mke wako, mume wako, mchumba, demu au men wako wa kitaa.
Ni sababu ipi ya msingi au isiyo ya msingi iliyokufanya ukamsaliti mwenza wako?
Ukweli wenu utasaidia sana kuepusha michepuko kwa sababu ambazo mtazitaja hapa jamvini wenza kuziepuka ili wasisalitiane kwa kua washajua makosa yapo wapi.
Karibuni wana jamvi.
Umefuata nini?
amefuata yanayomhusu.
Filomena, ukweli wanaume mara nyingi hawakandii sexual organs akicheat ikitokea ana mke au mpenzi na yule mwanamke wa nje akamuuliza kwanini yuko na yeye na ana mke au mpenzi wake? Mara nyingi wanaume hukwepa kujibu akilazimishwa sana hutaja mambo ya kijamii kudemonize partiner wake mfano aaa yule mwanamke hatuendani hapendi kutoka mie napenda kutoka, mshamba, hatuendani, mkorofi akiona naongea na wanawake lol ataleta fujo, ana wivu sana kupita kiasi, hajui kuvaa kila nikimfundisha hataki naona kama ananiabisha nawish nisingeoa mapema maana naona wewe Bintimzuri tunaendana sana lakini hatasema ana **** kubwa, hajui ku-do, ananuka uchi, hakojoi haraka maana wanaume hawapendi kuattack wenza wao sexually shambulio kubwa mwanaume anaweza kulifanya kwa mkewe au mpenzi wake kumwambia hawala yake ni kusema partiner wake ni mchafu hiyo kauli inabeba kila kitu. Lakini mwanamke akiwa kaolewa au anajamaa na anacheat na jamaa mwingine ikatokea jamaa akamuuliza wanawake hupenda kuattack sexually kwa kusema jamaa hanirizishi, anapiga push up mbili ya tatu wazungu hao, ana dushelele kusimama mpaka isukumwe, ana dushe ndogo nikikohoa inatoka hii ya dushe ndogo na kukojoa haraka hutumika sana pia iwapo kumetokea break up mwanamke anaanza kupakaza kudemonize mwanaume kuwa hana thamani yeyote. Wanawake kundi la pili hawa huwa ni wastaraabu watasema jamaa hanijali, mgomvi, hanipendi siku hizi kama zamani, anacheat na wanawake wengine hawa ni wale wastraaabu