Kwa wale wa Dodoma inawahusu hii!!!

Kwa wale wa Dodoma inawahusu hii!!!

nyakagwe

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2015
Posts
425
Reaction score
215
Pande za chamwino,kongwa,mpwapwa,Bahi,kindoa,area c,kuhungu,area d kuna booonge moja LA shooooooow ya MWENDO KASI kutoka Kwa mwanadada lady Jay deeeeee & the band ze NDI NDI NDI usikubari kupitwa na uhondo Huo!!!!

jaydee1.jpg



jaydee2.jpg
 
Ni bure nikazamie, au hata fungulia dog tu???

Nio mitaa ya kikuyu hapa
 
Hawa nao, hyo ndindi....... Ndo anakua anazunguka tz yote, ama kweli hii ni tanzania ya maajabu, hongera sister mkubwa
 
Mliman city jay dee katengeneza mil 400.

Dom mpaka sasa tiketi za mil 280 zishauzwa,eeeh hiyo hela ptofesa anaanza kazi mpaka kustaafu haipati'
Shkamoo wasanii darasa la saba wanahela kuzidi ma prof na dokta
 
Back
Top Bottom