Kwa wale mnaopenda 'Mambo ya Mombasa', tahadhari sana!

Mombasa mbona mbali mkuu? kuna mahali nyanda za juu kusini............
 
Hivi wewe Ab-Titchaz na Meezy mna maana gani ku-post jambo muhimu kama hili halafu tunawauliza huo msosi unapatikana wapi Dar hutujibu maana yake nini?

Hebu tupe mchongo huo tujenge afya sisi
 
Last edited by a moderator:
eEEEEEeeebhanaa eeeeeeeeeeeeeeeeee!!!
Sasa mambo mseto ndo hayo duh ....................!!1
 
dah mkuu....ulivyosema mambo ya Mombasa nilivyokuja mbio kidogo nitenguke......kumbe mambo ya Mombasa yapo mengi.....

...afu wewe Preta wewe... huishi vituko? Btw sikuingia humu na kuangalia kila andishi kama leo.
 
Last edited by a moderator:
Kwa hiyo siku hizi hakuna kusema doggy wangu kaibiwa bali kaliwa mshikaki!
 
Sasa walaji wa mishkaki tutajuaje kama ni nyama ya huyo jamaaaa? Tupeni viashiria basi au vidodoso! Utamu na Uchungu wake!
 
Siyo Mombasa tu hata bongo tunalishwa sana bila kujua!

Juzi juzi maeneo fulani kuna jamaa kafumwa anamuandaa Fisi tayali kumfanya miskaki.

Alafu tushawahi kujiuliza kwamba Mbwa wanazaa watoto 6-12 na ng'ombe anazaa ndama 1 tu isitoshe kila siku tunachinja ng'ombe lakini bado idadi ya ng'ombe inazidi ile ya mbwa
 
Jamani mbona hiyo ni mboga nzuri tu...kilichopo ni mazoea..kwetu ni kitoweo na choma yake ni safi..haina sumu hata kidogo..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom