mkakammoja
Member
- May 27, 2015
- 6
- 2
Aisee nimemaliza hapo jipange kinidhamu lasivyo patakushinda
Aisee nimemaliza hapo jipange kinidhamu lasivyo patakushinda
Shule ni nzuri ina huduma muhimu kama maji, hospital, walimu na umeme, coz imezungukwa na wamissionary wa shirika la benedictne, aisee nimegraduate pale 2013 na nimefaulu, so ila kuna sheria balaaa sababu mkuu wa shule anasimamia sheria balaa anaitwa Saimon Molega Mongate(double m)!
KAMA UNA JAMBO LOLOTE UNATAKA KUJUA KUHUSU NDANDA
JUST CALL ME
naomba mnitumie joining instructions ya ndanda high school kwenye email yangu au whatsapp no 0657579580 or email mjacksonville20@gmail.comShule ni nzuri ina huduma muhimu kama maji, hospital, walimu na umeme, coz imezungukwa na wamissionary wa shirika la benedictne, aisee nimegraduate pale 2013 na nimefaulu, so ila kuna sheria balaaa sababu mkuu wa shule anasimamia sheria balaa anaitwa Saimon Molega Mongate(double m)!
KAMA UNA JAMBO LOLOTE UNATAKA KUJUA KUHUSU NDANDA JUST CALL ME