Kaliro X
JF-Expert Member
- Apr 18, 2013
- 749
- 440
Mkuu hyo lugha ya kifasihi zaid ina maana pana kuhus hali ya udini shulen hapo.
O.k, nmekuelewa bro..
Mkuu hyo lugha ya kifasihi zaid ina maana pana kuhus hali ya udini shulen hapo.
Hge nakuja apo vip paukweeh? Au ndo vile ma bro! Nijuzen kama nimepata tkt ya kwenda chuo na vp kutoka mbeya ad apo ni kias gan kwa upande wa nauli?
ni phone kwenye namba 0759-580-165 au cio mwana!!!kaka tufahamiane bac.
ni phone kwenye namba 0759-580-165 au cio mwana!!!
yap true mkuu!!yaah! Madogo inabdi mjuaneeee! Coz nyie ndo wana 'ndabo' nw (ndanda boys)
dgo utatumiwaa, ila ukiona inachelewa andaa ela ya ktsha utaenda kuikuta huko hko coz mwaka we2 wengine joining waliikuta hko hko shule!
yaah! Alikuwa mchezaa vidukuu wa shule
Hge nakuja apo vip paukweeh? Au ndo vile ma bro! Nijuzen kama nimepata tkt ya kwenda chuo na vp kutoka mbeya ad apo ni kias gan kwa upande wa nauli?
nendeni mkafanye tena chokochoko za kidini
Wewe acha maisha ya kukariri...ndanda hakuna tena udini,hakuna fujo na amani ya kutosha ipo pale....kamugisha mwambie huyu asianze kuwalisha sumu wana mapema yote hii
Wewe ni HGE??*.... Pale hge means CHUO asee...mimi hapa mwanaHGE mwenzako nimeua pale mwaka huu...almost darasa zima limefaulu na aliyefeli saana ana 3 ya 17...hge z the hom of talents pale ndanda...nakupa ujumbe wangu ukawaambie wenzio kuwa tunataka kusikia mmebeba kombe la mbuzi kwa mara ya 3 mfululizo hahahaaaa.....ndanda z my best school ambayo mi siwezi kuisahau.....hutojuta kuchaguliwa ndanda iwapo tu utajua kumkwepa mkuu MONGATE THE ANIMAL
Big up xana mkuu umenifariji coz nilitaka nihame asa iv sing'ok pale ndanda na nakuhakikishia kuwa ujumbe wako usha fika na mbuz tutachukua tena so usijar au sio.haaaaaaaarah!!!!!
hakuna aliyewalisha sumu hapa ila najaribu kuweka sawa vijana waende wakapige kitabu haya maswala ya chokochoko za kidini waachane nazo
Ulipita pale mwaka gani mkuu???.....pale siku hizi ukijulikana una chembe za udini kwenuuuu unafungasha virago