Brother Hemedi
Member
- Jun 21, 2016
- 19
- 37
NDANDA BOYS HIGH SCHOOL
1.Advance only
2.Location ipo mkoa wa mtwara,wilaya-Masasi,kata-Mwena.
3.Ni shule nzuri kimiundombinu ya majengo,saman, n.k
4.Huduma ya maji Uhakika,umeme TANESCO + Solar power so fulltime.
5.Kuna walimu 37,registered,na watempo wapo.
6.Kuna tahasusi(wengne wanaita komb) tisa,that is CBG,EGM,HGE,HGK,HGL,HKL,PCB,PCM & PGM
7.Miradi ya shule Shama ekari 20(wakulima wanafunzi) na wana mpango wa kuongeza mwaka huu.,mrad wa kuku na ng'ombe,saloon,duka la shule,tailoring centre na Cantin(mkahawa/mgahawa).
8.SIMU NI MWIKO,Mkuu wa shule MR.MONGATE NI MKALI KWELIKWELI ON THAT.
9.Uniform surual rang dam ya mzee,viatu vyeusi.
10.Kuna barid kdogo.
Nadhani yanaweza kuwasaidio.
11.Msos wali j5 & j2,kande jmaa & j3,kuna mabweni ya kutosha(4) 1 amongst has two floor,wanaita ghorofa,usikae juu kuna baridi.
Yatawapa mwnga kdogo.
1.Advance only
2.Location ipo mkoa wa mtwara,wilaya-Masasi,kata-Mwena.
3.Ni shule nzuri kimiundombinu ya majengo,saman, n.k
4.Huduma ya maji Uhakika,umeme TANESCO + Solar power so fulltime.
5.Kuna walimu 37,registered,na watempo wapo.
6.Kuna tahasusi(wengne wanaita komb) tisa,that is CBG,EGM,HGE,HGK,HGL,HKL,PCB,PCM & PGM
7.Miradi ya shule Shama ekari 20(wakulima wanafunzi) na wana mpango wa kuongeza mwaka huu.,mrad wa kuku na ng'ombe,saloon,duka la shule,tailoring centre na Cantin(mkahawa/mgahawa).
8.SIMU NI MWIKO,Mkuu wa shule MR.MONGATE NI MKALI KWELIKWELI ON THAT.
9.Uniform surual rang dam ya mzee,viatu vyeusi.
10.Kuna barid kdogo.
Nadhani yanaweza kuwasaidio.
11.Msos wali j5 & j2,kande jmaa & j3,kuna mabweni ya kutosha(4) 1 amongst has two floor,wanaita ghorofa,usikae juu kuna baridi.
Yatawapa mwnga kdogo.