Kwa wale mliochaguliwa NDANDA BOYS HIGH SCHOOL

Kwa wale mliochaguliwa NDANDA BOYS HIGH SCHOOL

Hahahaaaa sawasawaaa....yani we ukifika tuuu utajua tu kama hge ni home of trophy...winning mentality ni kubwa sana....vipaji vya kila aina....mshikamano wa hatari na kikubwa zaidi ni darasa linalofanya vizuri zaidi academically...kwenye mock kati ya div one 26 hge ilitoa 17 bila kuwa na 4 hata 1....inatosha kukuonesha ni watu wa aina gani...myself hge imenifanya nimekuwa msanii mzuri tu na bado darasani nikaweza kumaintain..ni kwa sababu muda wa kusoma kila mtu anakuwa busy asee,pia kule hakuna wivu wa kijinga watu hawasomi kimashindano bali ni kufikia malengo,so tunashare materialz na mwisho wa siku malengo yametimia kwa 99%

10x thana ma bro. Vp kuhusu mlo na hali ya hewa kiujumla?
 
10x thana ma bro. Vp kuhusu mlo na hali ya hewa kiujumla?

Mlo uko vizuri...ingawa si wakati wote ila jamaa anajitahidi kuimprove hali ya chakula..na siku za sikukuu ni shangwe tu...kiujumla naeza sema chakula fresh tu...
 
Daagh.....kaka wewe ni yoooooweee

ulikuwa wap kaka! Nilikuwa najaribu kuwapaa madogo info za ndanda aisee nawaonea hadi tamaaa coz ndanda bonge la shulee now cha msingi ni kuwasisitiziaa jinsi ya kuchezaa na saimon molega mongate! I mc ndandaa xo much!!
 
Big up xana mkuu umenifariji coz nilitaka nihame asa iv sing'ok pale ndanda na nakuhakikishia kuwa ujumbe wako usha fika na mbuz tutachukua tena so usijar au sio.haaaaaaaarah!!!!!

dgo mbrazili nadhan hajakwambia kwamba kuna team hatar pale nimeicha frm EGM jiran zenu! Xo kuhucu mbuzi mwaka huu msahauu haahaahaahaaaaa!
 
dgo mbrazili nadhan hajakwambia kwamba kuna team hatar pale nimeicha frm EGM jiran zenu! Xo kuhucu mbuzi mwaka huu msahauu haahaahaahaaaaa!

Hahaaaa.....unachosema ni kweli tupu kamugisha..baaday ya kuondoka sisi pale kuna kazi kubwa ya kufanya kama mbuzi wanamtaka....ila sisi tumewaachia team spirit asee...tumempa kazi iyo shariff pale nyuma na juu shabani bale....nyi hamuna spirit bali vipaji tu....tunabeba tena
 
Hahaaaa.....unachosema ni kweli tupu kamugisha..baaday ya kuondoka sisi pale kuna kazi kubwa ya kufanya kama mbuzi wanamtaka....ila sisi tumewaachia team spirit asee...tumempa kazi iyo shariff pale nyuma na juu shabani bale....nyi hamuna spirit bali vipaji tu....tunabeba tena

haahaahaa! kakaa dis year kaz ipoo! ktengo victor lamek atawaonyesha kazii EGM hoyee
 
Victor kaishaaa...halafu anaumwa yuleeeee.....mtu baleee

dgo kuna wengne kibao mwenyewee unawajuaaaa ctak kuwataja! Madogo wataenda kuwatafutaa xo ntavujishaa siri za ushind! Ngoja waende hko hko wakajionee
 
Back
Top Bottom