Kwa wale mliochaguliwa NDANDA BOYS HIGH SCHOOL

Kwa wale mliochaguliwa NDANDA BOYS HIGH SCHOOL

Duuuh! Ndanda shule yangu. Nilimaliza pale 2006 na kijiti changu. Enzi hizo ndo ilikuwa kwenye transition yakwenda kuwa Boys xul. Nawapa moyo wadogo zangu mkazingatie Elimu na hatimaye mtatoka tu.
 
Duuuh! Ndanda shule yangu. Nilimaliza pale 2006 na kijiti changu. Enzi hizo ndo ilikuwa kwenye transition yakwenda kuwa Boys xul. Nawapa moyo wadogo zangu mkazingatie Elimu na hatimaye mtatoka tu.

kweli mkuu
 
Duuuh! Ndanda shule yangu. Nilimaliza pale 2006 na kijiti changu. Enzi hizo ndo ilikuwa kwenye transition yakwenda kuwa Boys xul. Nawapa moyo wadogo zangu mkazingatie Elimu na hatimaye mtatoka tu.

thanx bro..
 
naitwa grayson nimechaguliwa kujiunga na ndanda lakin bado na wasiwasi ingawa nackia n shule nzuri lakin cmnajua hakuna kizur chenye kasoro mnaweza kunisaidia mliomalizia hapo mkaniambia mapungufu msuli wa hapo ukoje na upande wa chakula vp.
 
naitwa grayson nimechaguliwa kujiunga na ndanda lakin bado na wasiwasi ingawa nackia n shule nzuri lakin cmnajua hakuna kizur chenye kasoro mnaweza kunisaidia mliomalizia hapo mkaniambia mapungufu msuli wa hapo ukoje na upande wa chakula vp.

dgo acha uzembee! Hebu pitia hii thread kuanzia page 1 hadi mwisho utajua mengi kuhusu ndanda coz wenzako nishawaambia! All in all shule ni nzuri mm nimegraduate hapo mwaka huu EGM! Vp umepelekwa comb gan?
 
Kaka wamenipeleka pcm nmeshakusoma vipi kuhusu chakula halafu inabid unipe no zako tuonge zaidi

msosi mzuri 75%! Bt ratiba yake haitofautian na othr gvnt xcul, ndanda n miongon mwa shule za serikal zinazojitahd ki msosi! Nichek
 
sasa wakuu 4us 2lo kgm 2najua kua joining instruction huwa znachelewa kufka pande iz,af 2mechaguliwa ndanda,so sio mbya mkfanya ku2ambia in short kua 2natakiwa twnde na nn vya muhm il hata kama 2tapata joining kwakule xul bas vngne 2we 2shanunulia huku
mf k2 cha tranker n muhm
 
sasa wakuu 4us 2lo kgm 2najua kua joining instruction huwa znachelewa kufka pande iz,af 2mechaguliwa ndanda,so sio mbya mkfanya ku2ambia in short kua 2natakiwa twnde na nn vya muhm il hata kama 2tapata joining kwakule xul bas vngne 2we 2shanunulia huku
mf k2 cha tranker n muhm

andika kiswahili vizuri basi dah yaani hadi kinyaa
 
naitwa grayson nimechaguliwa kujiunga na ndanda lakin bado na wasiwasi ingawa nackia n shule nzuri lakin cmnajua hakuna kizur chenye kasoro mnaweza kunisaidia mliomalizia hapo mkaniambia mapungufu msuli wa hapo ukoje na upande wa chakula vp.

mwanangu unaenda kufwa hko, hakuna maji, chakula kbya, walimu adim, mazngra ovyo yan ful #MAJANGAAAA
 
Hii ni amini na kweli, ndanda umeme wa uhakika, maji ya uhakika, chakula cha kusaza, nidhamu ndo mahali pake, taaluma ndo kuna tatizo. Ndanda is one among the best schools in Tanzania, kama huamini muulize RAIS MKAPA au spika MAKINDA.
 
mwanangu unaenda kufwa hko, hakuna maji, chakula kbya, walimu adim, mazngra ovyo yan ful #MAJANGAAAA

dgo we ni rimbuken! Unapajua ndanda au unaropokaa 2! Tuulize cc tulio graduate palee co unachonga tuu! Nan kakuambia mkoa wa mtwara unamtatzo ya umeme! Ndanda kuna natural water ktka ndanda springs vilivyotengenezwa na wazungu (wa benedictine) pia kuhusu afya shule imeingia mkataba na hospital ya wazungu hao hao(wa benedictine) na ni miongon mwa hospital kubwa kutoka mikoa yote ya kusin! msos bora karibu 80%, nidhamu ucseme, taaluma pia inajitahd tofaut na miaka 3 iliyopitaa! SO UCJITAMBE KUCHAGULIWA kibaha coz hkoo walimu hawafundishi sanaaa! So kama o'level uliiba mtihan(ulibahatishaa) A'level lazima u score zerooo! coz hta kibaha 4 na 0 zinapatkanagaa! So jiangaliee coz nakuona una kiraluraluuuuu!!!!overrr
 
mwanangu unaenda kufwa hko, hakuna maji, chakula kbya, walimu adim, mazngra ovyo yan ful #MAJANGAAAA

Wewe una akili wewe????.....unachokiongea unakielewa lakini???....sasa wewe umesimuliwa ila mimi nimeua pale mwaka huu,acha kuwapotosha madogo bhana kama hujui kitu piga kimya....kwa taarifa yako tu wilaya ya mwena ambayo ndamda ipo ndani yake ina maji yake binafsi toka kwenye chemchem za mlima makonde ambako pia kiwanda cha maji ndanda spring kinaprocess maji hayo kwa matumizi...ndanda maji ni 24/7 unaeza kuoga hata mara 6 per day nendeni mtajionea..

Pia chakula ni kizuri,nikisema kizuri haimaanishi mtalishwa kuku hapana,ni vyakula hivi hivi vya wanafunzi ila ni katika good condition na hali nzuri ya usafi kitu kinachosaidia kuepuka magonjwa ya mlipuko,nidhamu ipo ya kutosha,wapo walimu wa kukuonesha mwamga ila we mwenyewe utajichagulia future yako kwa kusoma kwa bidii au uwe mtu wa kushinda kwenye tv kuangalia zombies na burudani zingine.....msisite wala msijiulize mara mbili kama mmechaguliwa pale....I had a best moments ever there na nitapaheshimu na kupakumbuka till i die...
MFASHIST
 
Ndanda boys high school.....................ipo kata ya mwena, wilaya ya masasi ....mkoa wa mtwara
 
Kwa yeyote uliyechaguliwa hii shule .......naomba usome hii thread mwanzo mwisho itakusaidia .....pia kama una swali uliza
 
shule ni nzuri ina huduma muhimu kama maji, hospital, walimu na umeme, coz imezungukwa na wamissionary wa shirika la benedictne, aisee nimegraduate pale 2013 na nimefaulu, so ila kuna sheria balaaa coz mkuu wa shule ana simamia sheria balaa anaitwa saimon molega mongate(double m)!




KAMA UNA JAMBO LOLOTE UNATAKA KUJUA KUHUSU NDANDA JUST CALL ME 0712441899


Unaupata huu wimbo mkuu ?

''Mungu ibariki Ndanda 2013/
Ndanda isiwe na Four wala zero kwenye kapu/''

God damn mama alisema elimu ufunguo na baba akawaza vyema ya kwamba elimu chaguo !
 
oya mi nimechaguliwa ndanda naomba kama una form ya joining instruction ya mwaka hua au kama kuna mtu yeyote anipostie email yangu hi apa mgayamkwizu85@go.com
 
Back
Top Bottom