Senator jr
JF-Expert Member
- Apr 3, 2016
- 367
- 495
huyo anaweza kuwa ni kibwengo! sio shetani
Ndo shetani aliendikwa kwenye bible na quran auuu???
Kwa hiyo shetani ni wa kizungu? Heri yetu sisi waafrika
IlikuwajeJokes aside huyo wa kulia niliwahi kumuna mwaka 2009 mkoa fulani hivi. Siku peke yangu nilikuwa na dereva wa boda boda kuhakikisha kama nilichokiona ni sawa jamaa naye akasema ameona.
Mkuu ebu maliza hii story...ilikuwaje kuwaje mpaka mkakutana na njemba hii maaana dah!Jokes aside huyo wa kulia niliwahi kumuna mwaka 2009 mkoa fulani hivi. Siku peke yangu nilikuwa na dereva wa boda boda kuhakikisha kama nilichokiona ni sawa jamaa naye akasema ameona.
Kutana nae afu utupe mrejesho km n mrembo km unavosemaKumbe mrembo hivyo, au siyo rizki?
Mbona hatishi