Kwa wakina kaka tu

Kwa wakina kaka tu

imaney

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2012
Posts
1,014
Reaction score
314
Baada ya kukaa Jamiiforums muda fulani, nimeshuhudia wadada wale wanaokaribia 30 ama wako above 30, wanaotafuta wenza wakidhihakiwa, leo nawauliza ina maana nyie mliooana mapema(mid20's) ndoa zenu ndizo zenye furaha?

Mdada aliyegonga 30, hawezi kuwa mke mwema/mama mzuri wa familia?

Ama its just your ego, hamtaki mtu atakayewashusha makofidensi?
 
tatizo above 30 kashachezea migegedo mingi sanaaaa loh

alafu mnasahau kitu kimoja mwanamke akiza mid twenties mwili wake una kuwa na uwezo wa kurecover kwenye hali yake ya kawaida kirahisi zaidi kuliko above 30
 
tatizo above 30 kashachezea migegedo mingi sanaaaa loh

alafu mnasahau kitu kimoja mwanamke akiza mid twenties mwili wake una kuwa na uwezo wa kurecover kwenye hali yake ya kawaida kirahisi zaidi kuliko above 30

Unazungumzia wanawake wasiojua maazoezi wala diet na hawa ni wote hata kama alizaa na 20. Tumeona watu wameanza kuzaa na 40 na bado wana viuno kama nyigu na body ni nzuri. Cha muhimu ujue nini cha kula na mazoezi ya kufanya
 
tatizo above 30 kashachezea migegedo mingi sanaaaa loh

alafu mnasahau kitu kimoja mwanamke akiza mid twenties mwili wake una kuwa na uwezo wa kurecover kwenye hali yake ya kawaida kirahisi zaidi kuliko above 30

Ina maana huwezi kukuta above 30 ambaye labda km ni sex basi ni casual sio sana na ile kitu haijawa used sana??????

Hilo la kuzaa liko scientifically proved au unaongelea uzoefu wako tu???
 
Nauza dawa ya kupunguza miaka. Kama wewe ni 40 itakuwa 30, kama wewe ni 30 itakuwa 20, wahi discaunt 70% watakaowahi. Nipo kanda ya kati.

Note: kuhusu cheti cha kuzaliwa usiwaze, nacho kitabadilika.
 
Kwa mila za makabila mengi hasa hapa bongo wanaume tunashauriwa kuoa mwanamke uliemzid umri kuanzia miaka 5 and above...Sasa mdada upo tuseme na miaka 32 inabidi basi uolewe na mwanaume wa kuanzia miaka 37, Imagine tu kuna mwanaume amegonga 37 yupo yupo tu...sidhan lazima atakuwa amesha-divorce ama mdada ukubali kuwa 2nd wife aka Mchepuko wa mtu. Ila situation ya leo inawa-favor sana kina dada wenye umri mkubwa coz vijana wengi wanapenda sana oversize kuanzia surual, viatu had wanawake.
 
Kwa mila za makabila mengi hasa hapa bongo wanaume tunashauriwa kuoa mwanamke uliemzid umri kuanzia miaka 5 and above...Sasa mdada upo tuseme na miaka 32 inabidi basi uolewe na mwanaume wa kuanzia miaka 37, Imagine tu kuna mwanaume amegonga 37 yupo yupo tu...sidhan lazima atakuwa amesha-divorce ama mdada ukubali kuwa 2nd wife aka Mchepuko wa mtu. Ila situation ya leo inawa-favor sana kina dada wenye umri mkubwa coz vijana wengi wanapenda sana oversize kuanzia surual, viatu had wanawake.

Hivi hilo la kumzidi miaka mitano lina nini mkuu??,whats the secret behind??😆😆😆
 
Nauza dawa ya kupunguza miaka. Kama wewe ni 40 itakuwa 30, kama wewe ni 30 itakuwa 20, wahi discaunt 70% watakaowahi. Nipo kanda ya kati.

Note: kuhusu cheti cha kuzaliwa usiwaze, nacho kitabadilika.

aisee ni kweli inafanya kazi maana ulimpunguza bibi bomba kutoka 40 hadi 18
 
Hio kali mwanamke mwenye umri abov 30 atafute tu mme wa mtu
 
Mapenzi ya kweli hayajali umri..Ili mradi mnaendana kwenye sekta muhimu za maisha ya ndoa. Mie sidhani kama kuna ubaya mwanamke kukuzidi umri.NI MTAZAMO/MAZOEA ya jamii zetu kuwa mwanamke inabidi awe mdogo.
Kwa wale waislamu,tunaambiwa MTUME MUHAMMAD (S.A.W) alioa mwanamke aliemzidi miaka
 
Hivi hilo la kumzidi miaka mitano lina nini mkuu??,whats the secret behind??
Ni mtazamo tu kuwa mwanamke akiwa mdogo ni rahisi kumuheshimu mumeo kwanza kama mume pili kama mtu aliemzid umri ama wewe umesahau ulivyokuwa unasisitizwa na wazaz ni lazima uheshimu waliokuzid umri? Na baadh ya wadada huwa na maringo sana wakiwa na 20s hata akisemeshwa tu barabaran na mwanaume yeye anakuwa mkal tu sasa unakuta taarifa zake za maringo zinasambaa kwa wanaume walio wengi na wanaamua kumpotezea tu had aje kushtuka kuwa hakuna mwanaume anatym nae yuko kwenye 30s ndo anaanza kurudi tena kwa wale aliekuwa anawaletea nyodo saa inakuwa too late wale wote washakuwa na wake zao...ndo unakuta mwanamke alikuwa decent ghafla anakuwa mama huruma kila akigongewa tu keshavua watu wanajilia nakutambaa mwishowe anakuja pewa mimba na mme wa mtu....Ndo kishney habar yake hivyo ....So msiwe mama huruma na msiwe rigid sana kuwa haste haste....nipe nipige kidogo huwezi jua mi ndo mme wako.....Ila si mimi, mi shakamata mwenza tunasukama gurudumu sasa.

 
Back
Top Bottom