LD
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 3,014
- 578
Wadada bwana . . . . wanaombana ushosti kwa KUFANANA maandishi ya JF
CPU yatakushinda!!!
Na wewe unataka ushosti fanya ile kazi niliokwambia. Unakuwa umeshaupata huo ushosti.
Wadada bwana . . . . wanaombana ushosti kwa KUFANANA maandishi ya JF
CPU yatakushinda!!!
Na wewe unataka ushosti fanya ile kazi niliokwambia. Unakuwa umeshaupata huo ushosti.
Ha ha ha ha ha
Hata wewe kumbe huna uvumilivu eeeh? Teh teh teh
Mwanaume rijali haitwi shosti hata siku moja
Michelle yawezekana sisi ni ndugu, hebu tufanye mpango urudi nyumbani!!!
Haiwezekani ukawa unawaza na kufikiri ka ninavyotaka kufikiri........:clap2::clap2::clap2::clap2:
Sasa hili demu linalonichukulia mimi mume wangu mbona halijui haya na ni msomi? au degree zile za chupi? khaa chalii hakuna rangi naacha ona aisee! ila mwaka huu haupiti nina mpango kabambe tehetehetehe
Sasa hili demu linalonichukulia mimi mume wangu mbona halijui haya na ni msomi? au degree zile za chupi? khaa chalii hakuna rangi naacha ona aisee! ila mwaka huu haupiti nina mpango kabambe tehetehetehe
hao ni vicheche hawawezi kukaa na mmoja wakamtunza kama mume....wanachukua waume za watu kukwepa commitments....mume akiwa na mkewe na yeye anakuwa na uhuru wa kufanya atacho!!.....:coffee:
wote wako likely kuumiza mwanamke.......unajua wasichana wenye attitude hiyo hawapendi pia usumbufu au yale majukumu ya kuwa mke.....wanapenda uhuru wao na fact kuwa wanafanya maamuzi yao wenyewe si kwakuwa ni wajibu kufanya......wazee wanatunza pia,hawana conditions lukuki na kukuganda kwa sana pia shughli yao si kubwa kwa walio wengi,wanalinda ndoa zao kwa wale wasio kuwa na wake kwahiyo adabu debe ili usilete za kuleta kwa nyumba kubwa......Babu laooooo.......upo juu na huyo bidada wako.....:laugh::laugh:
Ila jamani siku hizi kumpata kijana wa ukweli ni kazi!!!!
nahisi wapo ila kuwapata ndio inakuwa ngumu, kila mtu ukijaribu kusikiliza, unaona kasoro za kimsingi. Bahati mbaya ukiingia unakutana na yasiyosimulikana, sasa utafanyaje?
Wengine ndio wanaona bora wafanye moyo mgumu, na wao wasipende waishi maisha ya kudanganya ili mradi apate anachotaka, kuna wakati ni sex, short time company, ushauri wa kimaisha na kimaendeleo, au fedha na mtoto.
vijana wa kiume wanachelewa kumature na kuwa resposible hadi inabore!!!!
are u in or out?Yaani watu hawako objective kabisa. Kama ni mwanaume basi atasema tatizo ni wanawake na kama ni demu basi atasema tatizo ni wanaume..........aaargh halafu mnajiita gr8 thinkers?? I think it is more like great sinkers lol.
opcorn:opcorn:opcorn:are u in or out?
Si nitakua naja ana mtu? so haiumi, tofauti na usilolijua mtu anakudanganya uko peke yako, kumbeeee. Vijana wansumbua sana, sikui ujana ndo unawasumbua? wanajidai... tofauti na mtu mzima n mstaarabu.