Da Womanizer
JF-Expert Member
- May 24, 2010
- 1,577
- 148
Mbona umeshtuka sana au ulikuwa naye sehemu sehemu nini??!!!!!!!!!!!!!There are currently 22 users browsing this thread. (6 members and 16 guests)
Mbona umeshtuka sana au ulikuwa naye sehemu sehemu nini??!!!!!!!!!!!!!There are currently 22 users browsing this thread. (6 members and 16 guests)
Mbona umeshtuka sana au ulikuwa naye sehemu sehemu nini??!!!!!!!!!!!!!
hao ni vicheche hawawezi kukaa na mmoja wakamtunza kama mume....wanachukua waume za watu kukwepa commitments....mume akiwa na mkewe na yeye anakuwa na uhuru wa kufanya atacho!!.....:coffee:
Ila jamani siku hizi kumpata kijana wa ukweli ni kazi!!!!
nahisi wapo ila kuwapata ndio inakuwa ngumu, kila mtu ukijaribu kusikiliza, unaona kasoro za kimsingi. Bahati mbaya ukiingia unakutana na yasiyosimulikana, sasa utafanyaje?
Wengine ndio wanaona bora wafanye moyo mgumu, na wao wasipende waishi maisha ya kudanganya ili mradi apate anachotaka, kuna wakati ni sex, short time company, ushauri wa kimaisha na kimaendeleo, au fedha na mtoto.
vijana wa kiume wanachelewa kumature na kuwa resposible hadi inabore!!!!
yaani mimi pia nilikua nawaza hivyo hivyo. Well said michele
Cku unarudi nambie tuandamane ili ukanitambulishe kabisa.
.
Ha ha haaa...mtafanana sana mwaka huu!
Sasa hili demu linalonichukulia mimi mume wangu mbona halijui haya na ni msomi? au degree zile za chupi? khaa chalii hakuna rangi naacha ona aisee! ila mwaka huu haupiti nina mpango kabambe tehetehetehe
Michelle nakupenda......mm ni mume wa mtu!
Una hela??kama unayo nitakupenda zaidi ya unavyonipenda.....:laugh::laugh::laugh:
mnh ina maana unalijua???mbona umetulia???huogopi ukimwi?:twitch:[/QUO
Naogopa ila ndio nitafanyaje sasa
Eeeh! Hata first lady wa USA hela inamsumbua???
Nani kakwambia kuna mwanaume wa mwenyewe hapa tanzania?watu kibao wamejimilikisha maubavu ya wenzao,kwanini na sisi tusishee huku tukipima km ndio ubavu wetu!mwanamke mjanja haitaji sharobalo wala mnuka maziwa ya mama eti awe mpenzi.alwayz sharing is caring,na binadamu sio kiwanja mpaka ujimilikishe .
Nani kakwambia kuna mwanaume wa mwenyewe hapa tanzania?watu kibao wamejimilikisha maubavu ya wenzao,kwanini na sisi tusishee huku tukipima km ndio ubavu wetu!mwanamke mjanja haitaji sharobalo wala mnuka maziwa ya mama eti awe mpenzi.alwayz sharing is caring,na binadamu sio kiwanja mpaka ujimilikishe .punguzeni ubinafsi wanaume wenyewe wako wachache,mnataka wengine tuwe watawa?
Nani kakwambia kuna mwanaume wa mwenyewe hapa tanzania?watu kibao wamejimilikisha maubavu ya wenzao,kwanini na sisi tusishee huku tukipima km ndio ubavu wetu!mwanamke mjanja haitaji sharobalo wala mnuka maziwa ya mama eti awe mpenzi.alwayz sharing is caring,na binadamu sio kiwanja mpaka ujimilikishe .punguzeni ubinafsi wanaume wenyewe wako wachache,mnataka wengine tuwe watawa?
Mimi mume wa mtu so be careful l.o.l!!!!!!Hahahaaaaaaaaaa lol