bacha
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 4,282
- 797
Nani kakwambia kuna mwanaume wa mwenyewe hapa tanzania?watu kibao wamejimilikisha maubavu ya wenzao,kwanini na sisi tusishee huku tukipima km ndio ubavu wetu!mwanamke mjanja haitaji sharobalo wala mnuka maziwa ya mama eti awe mpenzi.alwayz sharing is caring,na binadamu sio kiwanja mpaka ujimilikishe .punguzeni ubinafsi wanaume wenyewe wako wachache,mnataka wengine tuwe watawa?
Hapa dada zangu ndo huwa mnanichanganya kabisa,
Mpo mbele kupinga tabia ya wanaume kutoka nje ya ndoa zao,
lakini bado mnasema kuwa hakuna mwanaume wa mwenyewe hapa Tanzania lol...!
Nachanganyikiwa kabisa!!!!!!!