Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Ni mimi tu nimebakia, ni mimi tu kukuletea habari.:mimba:
Ni mimi tu nimebakia, ni mimi tu kukuletea habari.:mimba:
Tupo sema mzee wangu Asprin anaelekea kwenye uzee kwahiyo anatupa shida sana sie vijana wake.......Nipo swahiba,.....huwa nachungulia tu thread kisha naondoka na mvi zangu.
Nashukuru saaaaana kwa mualiko, ngoja nipige polish Pekoz, na Raizoni zangu...
naamini siku hiyo tubazioni Slim fits, Minis na Maxy Dress za kina Nyamayao, MwanajamiiOne,
Gaga, nyumba kubwa, Maty, Lizzy, Kaunga, King'asti, et al....
bila kuwasahau kina bro The Finest, Mentor, Asprin, The Boss, BAK....etc.....
tupo pamoja Swahiba, 2015 is Loading.
Hahahahaha hatimaye umefufuka kama ulivyosema?Wazeee wa bandari....meli hiyooo
Labheka darling wangu...........
Usiponirudishia my fellow tablet wangu klorokwini sitaongea na wewe 2015:confused2::confused2::confused2:
BTW, Ulikuwa wapi siku zote mzee mwenzangu??
Nakuonaga tu na uchokozi kule nyumbani kwetu Liverpool.... Mi hata sichangii manake BR ananiudhi mpaka nakosa cha kuandika.
Hahahah...hii ni shida sasa PM muhimu ila na kwingine pia tunakabaHahahahaha hatimaye umefufuka kama ulivyosema?
Naona bazazi umekuja rasmi kumendea vimchuchu vipya vya ChitChat.... Kabla hujaingia cha kike hakikisha unaniPM. Kuna vimchuchu huku havina tofauti na Pulofesa Tibaijuka...... Yani labda itokee tu shehe....
Labheka darling wangu...........
kumueka na ukalala nae sio fani................fani kujua kucheza nae
.......Nipo swahiba,.....huwa nachungulia tu thread kisha naondoka na mvi zangu.
Nashukuru saaaaana kwa mualiko, ngoja nipige polish Pekoz, na Raizoni zangu...
naamini siku hiyo tubazioni Slim fits, Minis na Maxy Dress za kina Nyamayao, MwanajamiiOne,
Gaga, nyumba kubwa, Maty, Lizzy, Kaunga, King'asti, et al....
bila kuwasahau kina bro The Finest, Mentor, Asprin, The Boss, BAK....etc.....
tupo pamoja Swahiba, 2015 is Loading.
Ahhhhhhhhhhhhhhh....
Unajua hiyo ni sumu ya kuongeza pressure kwa watu wenye umri wao?
Shaurilo ukim-RIP mzee mwenzetu...tutakushughulikia bila makona kona kama ya ESCROW!
Hahaha salama kabisa....ni muhimu kwa kuwa tunahitajika kufanya ukaguziMzima dogo???
Halafu ujue deni langu lazima nikudai hadi siku naimbiwa pambio aisee!!
Kwani anakusoma mjengoni?Not true!!! and its hard for u to believe! all in all I do love my Liane's papaa jaman wish u a merry christmas and a happy new year sweetdarlingto! Natamani likizo isiisheeeeeeeeeee kwa maloveeee unayonipa natamani mpaka niache kazi ilimradi tu nikuone kila dakika haha haaa!
Hommie hii ni kazi ya chama au shughuli binafsi kwenye akaunti ya Escrow??
Kila napogundua bidhaa mpya nyie madogo mnaniwekea uzibe. Liwalo na nile, nasema na mpigwe tu.
wapigwe tu,,,, nimemwona afrodenzi sehemu, kisha The Finest huyu...tumharibie?